Fisadi Mtoto
JF-Expert Member
- Jan 7, 2008
- 639
- 79
Habari nilizopata hivi punde ni kuwa Mh. Nchimbi ameshinda kwa kishindo uchaguzi wa Nec kuwakilisha Songea mjini kwa kupata kura 722 na kuwapita wapinzani wake ambao ni Yusuphu aliepata kura 44 na Mwenyekiti wa Uwt wilaya aliepata kura 22