Nchi za SADC zinapuuza demokrasia ? Nchi mwenyeji yaongoza kukandamiza wapinzani , pamoja na uchaguzi S/MITAA kuwa karibu , mikutano bado yapigwa pini

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,703
218,239
FB_IMG_1566047027224.jpg


17 Tanzanian opposition legislators face various politically motivated offenses .jpg


Sina hakika kama Waafrica ni jamii halisi ya binadamu walioumbwa na Mungu yule aliyeumba jamii nyingine , hii ni kwa sababu hawajawahi kuwa na sifa za ubinadamu .

Nchini Tanzania , nchi ambayo ni mwenyeji wa mkutano wa SADC (kundi la nchi zisizo na tija yoyote) , mwaka huu kunafanyika Uchaguzi wa Serikali za mitaa , ikiwa imesalia miezi miwili tu kufanyika kwa uchaguzi huo vyama vya upinzani vimedhibitiwa na kutoruhusiwa kufanya mikutano ya kisiasa huku chama cha mapinduzi kikitamba na kufanya kitakavyo nchi nzima , kinyume cha Katiba ya Nchi , na kinyume kabisa cha makubaliano yaliyomo kwenye mikataba ya kimataifa .

Hoja yangu ni kuwashangaa viongozi wa SADC ambao hakuna wasichokifahamu kuhusiana na kuuawa kwa Demokrasia nchini Tanzania , kunyamaza kwao kunamaanisha kwamba hawana habari na ustawi wa Demokrasia kwenye nchi zao , ni viongozi madikteta wanaoshindwa kuhoji udikteta unaofanywa katika Tanzania , wamesahau kwamba Hakuna maendeleo pasipo na demokrasia , wamejisahau wakaamua kulewa madaraka .

Kwa hali hii Hivi kuna mtu anayeweza kuwaamini viongozi wa kiafrica , kama wamekalia kimya ukandamizaji , kutekwa , kukamatwa hovyo na mauaji ya viongozi wa Upinzani yanayofanywa nchini Tanzania ni wapi pengine wanaweza kuhoji ?
 
Sina hakika kama Waafrica ni jamii halisi ya binadamu walioumbwa na Mungu yule aliyeumba jamii nyingine , hii ni kwa sababu hawajawahi kuwa na sifa za ubinadamu .

Nchini Tanzania , nchi ambayo ni mwenyeji wa mkutano wa SADC (kundi la nchi zisizo na tija yoyote) , mwaka huu kunafanyika Uchaguzi wa Serikali za mitaa , ikiwa imesalia miezi miwili tu kufanyika kwa uchaguzi huo vyama vya upinzani vimedhibitiwa na kutoruhusiwa kufanya mikutano ya kisiasa huku chama cha mapinduzi kikitamba na kufanya kitakavyo nchi nzima , kinyume cha Katiba ya Nchi , na kinyume kabisa cha makubaliano yaliyomo kwenye mikataba ya kimataifa .

Hoja yangu ni kuwashangaa viongozi wa SADC ambao hakuna wasichokifahamu kuhusiana na kuuawa kwa Demokrasia nchini Tanzania , kunyamaza kwao kunamaanisha kwamba hawana habari na ustawi wa Demokrasia kwenye nchi zao , ni viongozi madikteta wanaoshindwa kuhoji udikteta unaofanywa katika Tanzania , wamesahau kwamba Hakuna maendeleo pasipo na demokrasia , wamejisahau wakaamua kulewa madaraka .

Kwa hali hii Hivi kuna mtu anayeweza kuwaamini viongozi wa kiafrica , kama wamekalia kimya ukandamizaji , kutekwa , kukamatwa hovyo na mauaji ya viongozi wa Upinzani yanayofanywa nchini Tanzania ni wapi pengine wanaweza kuhoji ?

Siku utakopompa mkeo demokrasia ya kukufanya atakavyo basi ndio uje ulielie kudai hiyo demokrasia uliyoitaja kwenye hili bandiko lako. Lakini kama mkeo hujampa huo uhuru basi usitegemee kupata uhuru wa asilimia mia moja kutoka serikalini. Kuna wakati huo uhuru au demokrasia vinafanya maendeleo yazidi kurudi nyuma. Hao wazungu unaowaona ni mfano wa kuigwa waliwatumikisha mababu zako, waliwanyima demokrasia na kuwafanya vijakazi wa kujenga nchi zao. Baada ya kuwa wamefikia kiwango cha maendeleo walichokitaka ndipo wakaja na hicho kiini macho unachokililia wewe eti uhuru wa kila kitu. Nenda kawaambie hao mabeberu wako warudishe jasho la mababu zetu ndipo tutajua demokrasia ipo katika hii dunia. Otherwise shut-up na uiache serikali ijaribu kuimarisha uchumi na maendeleo kwa maslahi mapana ya nchi.
 
Upinzani unataka DOMO Krasia yaani Uhuru wa kuongea lolote hiyo Sio demokrasia Ni domokrasia .Domokrasia na Demokrasia ni vitu viwili tofauti
 
Siku utakopompa mkeo demokrasia ya kukufanya atakavyo basi ndio uje ulielie kudai hiyo demokrasia uliyoitaja kwenye hili bandiko lako. Lakini kama mkeo hujampa huo uhuru basi usitegemee kupata uhuru wa asilimia mia moja kutoka serikalini. Kuna wakati huo uhuru au demokrasia vinafanya maendeleo yazidi kurudi nyuma. Hao wazungu unaowaona ni mfano wa kuigwa waliwatumikisha mababu zako, waliwanyima demokrasia na kuwafanya vijakazi wa kujenga nchi zao. Baada ya kuwa wamefikia kiwango cha maendeleo walichokitaka ndipo wakaja na hicho kiini macho unachokililia wewe eti uhuru wa kila kitu. Nenda kawaambie hao mabeberu wako warudishe jasho la mababu zetu ndipo tutajua demokrasia ipo katika hii dunia. Otherwise shut-up na uiache serikali ijaribu kuimarisha uchumi na maendeleo kwa maslahi mapana ya nchi.
uwezo wako duni sana ! haustahili kuwemo jf
 
Inasikitisha sana kuona baadh ya watu bado wana fikra finyu kiasi hiki. Mtoa post unajitambua sana. Ila nilikua napitia comment nimeona bado kuna watu wana fikra finyu sana, bado wapo kwenye ushabiki wa wanasiasa, hawa watu hawana uwezo wa kutumia fikra zao kuona mbele ama kuona hata wakati huu huu waliopo hali ikoje!!! Wao wanachoona ni mwanasiasa flani ama wanasiasa flan ambao wanawashabikia wapo madarakani. Na si ajabu hata kula yao ya siku ni ya taabu sana ukilinganisha na miaka ya nyuma lkn fikra zao ndo zishakamatwa kwa kulishwa maneno na ahadi za ujanja ujanja tu.
 
SADC ni kikundi cha madikteta Mkuu hiyo siyo siri ndiyo sababu hakuna hata mmoja wa nchi nyingine anayeweza kumkemea mwenzie kwenye maovu yake.

Sina hakika kama Waafrica ni jamii halisi ya binadamu walioumbwa na Mungu yule aliyeumba jamii nyingine , hii ni kwa sababu hawajawahi kuwa na sifa za ubinadamu .

Nchini Tanzania , nchi ambayo ni mwenyeji wa mkutano wa SADC (kundi la nchi zisizo na tija yoyote) , mwaka huu kunafanyika Uchaguzi wa Serikali za mitaa , ikiwa imesalia miezi miwili tu kufanyika kwa uchaguzi huo vyama vya upinzani vimedhibitiwa na kutoruhusiwa kufanya mikutano ya kisiasa huku chama cha mapinduzi kikitamba na kufanya kitakavyo nchi nzima , kinyume cha Katiba ya Nchi , na kinyume kabisa cha makubaliano yaliyomo kwenye mikataba ya kimataifa .

Hoja yangu ni kuwashangaa viongozi wa SADC ambao hakuna wasichokifahamu kuhusiana na kuuawa kwa Demokrasia nchini Tanzania , kunyamaza kwao kunamaanisha kwamba hawana habari na ustawi wa Demokrasia kwenye nchi zao , ni viongozi madikteta wanaoshindwa kuhoji udikteta unaofanywa katika Tanzania , wamesahau kwamba Hakuna maendeleo pasipo na demokrasia , wamejisahau wakaamua kulewa madaraka .

Kwa hali hii Hivi kuna mtu anayeweza kuwaamini viongozi wa kiafrica , kama wamekalia kimya ukandamizaji , kutekwa , kukamatwa hovyo na mauaji ya viongozi wa Upinzani yanayofanywa nchini Tanzania ni wapi pengine wanaweza kuhoji ?
 
Sina hakika kama Waafrica ni jamii halisi ya binadamu walioumbwa na Mungu yule aliyeumba jamii nyingine , hii ni kwa sababu hawajawahi kuwa na sifa za ubinadamu .

Nchini Tanzania , nchi ambayo ni mwenyeji wa mkutano wa SADC (kundi la nchi zisizo na tija yoyote) , mwaka huu kunafanyika Uchaguzi wa Serikali za mitaa , ikiwa imesalia miezi miwili tu kufanyika kwa uchaguzi huo vyama vya upinzani vimedhibitiwa na kutoruhusiwa kufanya mikutano ya kisiasa huku chama cha mapinduzi kikitamba na kufanya kitakavyo nchi nzima , kinyume cha Katiba ya Nchi , na kinyume kabisa cha makubaliano yaliyomo kwenye mikataba ya kimataifa .

Hoja yangu ni kuwashangaa viongozi wa SADC ambao hakuna wasichokifahamu kuhusiana na kuuawa kwa Demokrasia nchini Tanzania , kunyamaza kwao kunamaanisha kwamba hawana habari na ustawi wa Demokrasia kwenye nchi zao , ni viongozi madikteta wanaoshindwa kuhoji udikteta unaofanywa katika Tanzania , wamesahau kwamba Hakuna maendeleo pasipo na demokrasia , wamejisahau wakaamua kulewa madaraka .

Kwa hali hii Hivi kuna mtu anayeweza kuwaamini viongozi wa kiafrica , kama wamekalia kimya ukandamizaji , kutekwa , kukamatwa hovyo na mauaji ya viongozi wa Upinzani yanayofanywa nchini Tanzania ni wapi pengine wanaweza kuhoji ?
Mkuu sitaki kukupinga lakini Trump alishindwa kum-condemn Mohamed bin Salman kwa mauaji ya Khashoggi sembuse hawa wa kwetu.....
 
Mkuu sitaki kukupinga lakini Trump alishindwa kum-condemn Mohamed bin Salman kwa mauaji ya Khashoggi sembuse hawa wa kwetu.....
Hebu tujikite kwenye SADC kwanza , maana mtu kama Ramaphosa hakuwahi kudhibiti demokrasi kwa njia ya kinyama kama inavyotendwa Tanzania , lakini pamoja na kujua yote haya kwanini kanyamaza ?
 
Braza vichwa panzi kama hawa ni wa kuwaonea huruma tu, hawajui hata motives behind the so called democracy ni nini? Wao kununua bundle la jero na kuandika upuuzi ndo demokrasia.
Siku utakopompa mkeo demokrasia ya kukufanya atakavyo basi ndio uje ulielie kudai hiyo demokrasia uliyoitaja kwenye hili bandiko lako. Lakini kama mkeo hujampa huo uhuru basi usitegemee kupata uhuru wa asilimia mia moja kutoka serikalini. Kuna wakati huo uhuru au demokrasia vinafanya maendeleo yazidi kurudi nyuma. Hao wazungu unaowaona ni mfano wa kuigwa waliwatumikisha mababu zako, waliwanyima demokrasia na kuwafanya vijakazi wa kujenga nchi zao. Baada ya kuwa wamefikia kiwango cha maendeleo walichokitaka ndipo wakaja na hicho kiini macho unachokililia wewe eti uhuru wa kila kitu. Nenda kawaambie hao mabeberu wako warudishe jasho la mababu zetu ndipo tutajua demokrasia ipo katika hii dunia. Otherwise shut-up na uiache serikali ijaribu kuimarisha uchumi na maendeleo kwa maslahi mapana ya nchi.
 
View attachment 1183749

View attachment 1183752

Sina hakika kama Waafrica ni jamii halisi ya binadamu walioumbwa na Mungu yule aliyeumba jamii nyingine , hii ni kwa sababu hawajawahi kuwa na sifa za ubinadamu .

Nchini Tanzania , nchi ambayo ni mwenyeji wa mkutano wa SADC (kundi la nchi zisizo na tija yoyote) , mwaka huu kunafanyika Uchaguzi wa Serikali za mitaa , ikiwa imesalia miezi miwili tu kufanyika kwa uchaguzi huo vyama vya upinzani vimedhibitiwa na kutoruhusiwa kufanya mikutano ya kisiasa huku chama cha mapinduzi kikitamba na kufanya kitakavyo nchi nzima , kinyume cha Katiba ya Nchi , na kinyume kabisa cha makubaliano yaliyomo kwenye mikataba ya kimataifa .

Hoja yangu ni kuwashangaa viongozi wa SADC ambao hakuna wasichokifahamu kuhusiana na kuuawa kwa Demokrasia nchini Tanzania , kunyamaza kwao kunamaanisha kwamba hawana habari na ustawi wa Demokrasia kwenye nchi zao , ni viongozi madikteta wanaoshindwa kuhoji udikteta unaofanywa katika Tanzania , wamesahau kwamba Hakuna maendeleo pasipo na demokrasia , wamejisahau wakaamua kulewa madaraka .

Kwa hali hii Hivi kuna mtu anayeweza kuwaamini viongozi wa kiafrica , kama wamekalia kimya ukandamizaji , kutekwa , kukamatwa hovyo na mauaji ya viongozi wa Upinzani yanayofanywa nchini Tanzania ni wapi pengine wanaweza kuhoji ?
nukuu ya leo "KUNDI LA NCHI ZISIZO NA TIJA YOYOTE"
 
Unatuambia Umoja huo hauna tija(faida) yoyote halafu unawapigia hodi wakusaidie(yaani ufaidike nao). How!!
 
Back
Top Bottom