NCHI ZA MAZIWA MAKUU: Hapakuwa na meli kubwa inayoweza kubeba watu 1,200 Tani 400 za mizigo, Magari 23 kwa pamoja kabla ya Rais Samia kutoa TZS121bn

NCHI ZA MAZIWA MAKUU: Hapakuwa na meli kubwa inayoweza kubeba watu 1,200 Tani 400 za mizigo, Magari 23 kwa pamoja kabla ya Rais Samia kutoa TZS121bn

Investigation Unit

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2023
Posts
357
Reaction score
399
1754280829893.png

Rais Samia atumia TZS120.56 kujenga Meli ya MV Mwanza itakayobeba Tani 400, magari 20 na Malori 3 pamoja na abiria 1,200 kwa wakati mmoja.

Kwa msiofahamu, MV Mwanza ni mradi wa kimkakati wa kitaifa unaoonyesha dhamira ya Rais Samia katika kuimarisha miundombinu ya usafiri na usafirishaji wa majini, kuongeza usalama, kupanua uchumi wa Ziwa Victoria, na kujenga uwezo wa Uchumi Kitaifa. Gharama ya mradi huu ni TZS120.56bn, Mradi huu ni uwekezaji mkubwa na wenye tija kwa taifa na kipato cha mtu mmoja mmoja kwa sasa na baadae.

TZS120.56bn ni thamani ya meli ya MV Mwanza “Hapa Kazi Tu”, inayojengwa kwa gharama ya serikali chini ya Rais Samia. MV Mwanza ni meli kubwa zaidi mashariki mwa Afrika, ikijengwa Mwanza, Tanzania. Meli hii ina uwezo wa kubeba abiria 1,200 kwa Pamoja, Mizigo tani 400, Magari madogo 20 na malori makubwa matatu (3), Meli hii inaurefu wa takribani 92.6 m, upana 17 m, na urefu wa kulia 20m,
 
Rais Samia atumia TZS120.56 kujenga Meli ya MV Mwanza itakayobeba Tani 400, magari 20 na Malori 3 pamoja na abiria 1,200 kwa wakati mmoja.

Kwa msiofahamu, MV Mwanza ni mradi wa kimkakati wa kitaifa unaoonyesha dhamira ya Rais Samia katika kuimarisha miundombinu ya usafiri na usafirishaji wa majini, kuongeza usalama, kupanua uchumi wa Ziwa Victoria, na kujenga uwezo wa Uchumi Kitaifa. Gharama ya mradi huu ni TZS120.56bn, Mradi huu ni uwekezaji mkubwa na wenye tija kwa taifa na kipato cha mtu mmoja mmoja kwa sasa na baadae.

TZS120.56bn ni thamani ya meli ya MV Mwanza “Hapa Kazi Tu”, inayojengwa kwa gharama ya serikali chini ya Rais Samia. MV Mwanza ni meli kubwa zaidi mashariki mwa Afrika, ikijengwa Mwanza, Tanzania. Meli hii ina uwezo wa kubeba abiria 1,200 kwa Pamoja, Mizigo tani 400, Magari madogo 20 na malori makubwa matatu (3), Meli hii inaurefu wa takribani 92.6 m, upana 17 m, na urefu wa kulia 20m,
mimi nasisitiza huyu mama hata tusipozisema hizi kazi zake mawe yatapiga kelele na yatasema haya yote kwa sauti ya juu,

hivi Rais gani angeweza haya?
 
Ni Tanzania tu mtu atakurupuka na kuja mtandaoni kumsifia kiongozi kwa kutekeleza majukumu na wajibu wake as if ni jambo la muujiza kumbe ni ujinga uliojengeka kichwani mwake kwamba kiongozi ndie anae amua kuleta maendeleo
 
Rais Samia atumia TZS120.56 kujenga Meli ya MV Mwanza itakayobeba Tani 400, magari 20 na Malori 3 pamoja na abiria 1,200 kwa wakati mmoja.

Kwa msiofahamu, MV Mwanza ni mradi wa kimkakati wa kitaifa unaoonyesha dhamira ya Rais Samia katika kuimarisha miundombinu ya usafiri na usafirishaji wa majini, kuongeza usalama, kupanua uchumi wa Ziwa Victoria, na kujenga uwezo wa Uchumi Kitaifa. Gharama ya mradi huu ni TZS120.56bn, Mradi huu ni uwekezaji mkubwa na wenye tija kwa taifa na kipato cha mtu mmoja mmoja kwa sasa na baadae.

TZS120.56bn ni thamani ya meli ya MV Mwanza “Hapa Kazi Tu”, inayojengwa kwa gharama ya serikali chini ya Rais Samia. MV Mwanza ni meli kubwa zaidi mashariki mwa Afrika, ikijengwa Mwanza, Tanzania. Meli hii ina uwezo wa kubeba abiria 1,200 kwa Pamoja, Mizigo tani 400, Magari madogo 20 na malori makubwa matatu (3), Meli hii inaurefu wa takribani 92.6 m, upana 17 m, na urefu wa kulia 20m,
Washwa tuu ,maana tutakukuna
 
Rais Samia atumia TZS120.56 kujenga Meli ya MV Mwanza itakayobeba Tani 400, magari 20 na Malori 3 pamoja na abiria 1,200 kwa wakati mmoja.

Kwa msiofahamu, MV Mwanza ni mradi wa kimkakati wa kitaifa unaoonyesha dhamira ya Rais Samia katika kuimarisha miundombinu ya usafiri na usafirishaji wa majini, kuongeza usalama, kupanua uchumi wa Ziwa Victoria, na kujenga uwezo wa Uchumi Kitaifa. Gharama ya mradi huu ni TZS120.56bn, Mradi huu ni uwekezaji mkubwa na wenye tija kwa taifa na kipato cha mtu mmoja mmoja kwa sasa na baadae.

TZS120.56bn ni thamani ya meli ya MV Mwanza “Hapa Kazi Tu”, inayojengwa kwa gharama ya serikali chini ya Rais Samia. MV Mwanza ni meli kubwa zaidi mashariki mwa Afrika, ikijengwa Mwanza, Tanzania. Meli hii ina uwezo wa kubeba abiria 1,200 kwa Pamoja, Mizigo tani 400, Magari madogo 20 na malori makubwa matatu (3), Meli hii inaurefu wa takribani 92.6 m, upana 17 m, na urefu wa kulia 20m,
Pumba, rais anafanya biashara gani ya kuingizia fedha?
 
Rais Samia atumia TZS120.56 kujenga Meli ya MV Mwanza itakayobeba Tani 400, magari 20 na Malori 3 pamoja na abiria 1,200 kwa wakati mmoja.

Kwa msiofahamu, MV Mwanza ni mradi wa kimkakati wa kitaifa unaoonyesha dhamira ya Rais Samia katika kuimarisha miundombinu ya usafiri na usafirishaji wa majini, kuongeza usalama, kupanua uchumi wa Ziwa Victoria, na kujenga uwezo wa Uchumi Kitaifa. Gharama ya mradi huu ni TZS120.56bn, Mradi huu ni uwekezaji mkubwa na wenye tija kwa taifa na kipato cha mtu mmoja mmoja kwa sasa na baadae.

TZS120.56bn ni thamani ya meli ya MV Mwanza “Hapa Kazi Tu”, inayojengwa kwa gharama ya serikali chini ya Rais Samia. MV Mwanza ni meli kubwa zaidi mashariki mwa Afrika, ikijengwa Mwanza, Tanzania. Meli hii ina uwezo wa kubeba abiria 1,200 kwa Pamoja, Mizigo tani 400, Magari madogo 20 na malori makubwa matatu (3), Meli hii inaurefu wa takribani 92.6 m, upana 17 m, na urefu wa kulia 20m,

hakuna serikali yoyote ile ambayo haijengi miundombinu, au miradi ya kimkakati. Hata wakoloni walijenga miundombinu kwa mfano reli ya kati lakini tulidai uhuru wa Tanganyika ili tujitawale wenyewe.
 
Rais Samia atumia TZS120.56 kujenga Meli ya MV Mwanza itakayobeba Tani 400, magari 20 na Malori 3 pamoja na abiria 1,200 kwa wakati mmoja.

Kwa msiofahamu, MV Mwanza ni mradi wa kimkakati wa kitaifa unaoonyesha dhamira ya Rais Samia katika kuimarisha miundombinu ya usafiri na usafirishaji wa majini, kuongeza usalama, kupanua uchumi wa Ziwa Victoria, na kujenga uwezo wa Uchumi Kitaifa. Gharama ya mradi huu ni TZS120.56bn, Mradi huu ni uwekezaji mkubwa na wenye tija kwa taifa na kipato cha mtu mmoja mmoja kwa sasa na baadae.

TZS120.56bn ni thamani ya meli ya MV Mwanza “Hapa Kazi Tu”, inayojengwa kwa gharama ya serikali chini ya Rais Samia. MV Mwanza ni meli kubwa zaidi mashariki mwa Afrika, ikijengwa Mwanza, Tanzania. Meli hii ina uwezo wa kubeba abiria 1,200 kwa Pamoja, Mizigo tani 400, Magari madogo 20 na malori makubwa matatu (3), Meli hii inaurefu wa takribani 92.6 m, upana 17 m, na urefu wa kulia 20m,
Ndo ile alijenga Magufuli?
 
Back
Top Bottom