YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,904
Nchi za Magharibi kwenye hii vita ya Urusi na Ukraine wanapigana kisayansi zaidi na kisomi
Wameanza na vikwazo vizito vikiwemo kuwatoa kwenye matumizi ya Euro,Dollar,pound na Yen na matumizi ya kibenki kupitia swift.Maana yake nini? Urusi haiwezi kuuza au kununua kutoka nnje ya nchi au kulipa au kulipwa chochote sababu hakuna benki itaweza pokea malipo au kulipa Russia kupitia mabenki!!
Maana yake Urusi uchumi wake umefungwa wote na biashara zake zote wanatakiwa waishi kijima subsistence economy !!!
Muda si mrefu wananchi wa Russia wataingia mitaani kupinga Putin kwa kuwapa maisha magumu na kumtaka aondoke watamkabidhi nchi za Magharibi kama ilivyotokea kwa Ghadaffi na Saddam Hussein muda si mrefu
Nchi za Magharibi zinalenga shabaha vikwazo kwa wananchi walio wengi wa Russia zaidi ili wafikie uasi wakati Russia analenga wananchi wachache wa Ukraine .Ndio maana hadi sasa NATO na Marekani hawajarusha risasi hata moja wanaenda kisayansi zaidi
Matokeo ya hii vita yatamtimua Putin na Russia iliyopo itavunjila vipande tena kwa uasi wa ndani
Putin Ni Boris Yelstin wa pili ambaye kaamua kuvunja hata kipande kidogo cha Russia kilichobaki baada ya Urusi kubwa kuvunjika chini ya Boris Yelstin
Wameanza na vikwazo vizito vikiwemo kuwatoa kwenye matumizi ya Euro,Dollar,pound na Yen na matumizi ya kibenki kupitia swift.Maana yake nini? Urusi haiwezi kuuza au kununua kutoka nnje ya nchi au kulipa au kulipwa chochote sababu hakuna benki itaweza pokea malipo au kulipa Russia kupitia mabenki!!
Maana yake Urusi uchumi wake umefungwa wote na biashara zake zote wanatakiwa waishi kijima subsistence economy !!!
Muda si mrefu wananchi wa Russia wataingia mitaani kupinga Putin kwa kuwapa maisha magumu na kumtaka aondoke watamkabidhi nchi za Magharibi kama ilivyotokea kwa Ghadaffi na Saddam Hussein muda si mrefu
Nchi za Magharibi zinalenga shabaha vikwazo kwa wananchi walio wengi wa Russia zaidi ili wafikie uasi wakati Russia analenga wananchi wachache wa Ukraine .Ndio maana hadi sasa NATO na Marekani hawajarusha risasi hata moja wanaenda kisayansi zaidi
Matokeo ya hii vita yatamtimua Putin na Russia iliyopo itavunjila vipande tena kwa uasi wa ndani
Putin Ni Boris Yelstin wa pili ambaye kaamua kuvunja hata kipande kidogo cha Russia kilichobaki baada ya Urusi kubwa kuvunjika chini ya Boris Yelstin