mansoorsaid
JF-Expert Member
- May 31, 2014
- 1,498
- 286
inasikitisha ugonjwa wa ebola unavyoisumbua magharibi mwa nchi za afrika.lakini kwa muono wangu nchi za magharibi kutaka kuusambaza kwa maksudi nchi nyingine za africa mara madaktari wa wa nchi kwenda kusaidia kutibu ebola mpoto kupewa nishani ebola ili mradi nchi zipata ugonjwa zitoe masharti kusaidiwa zipata maambukizi nchi zenyewe maskini wanataka ziendelee kuwa maskini.
madaktari wanashindwa kutibia wananchi wake wanakurupuka kwenda kupambana na ebola kwa kisingizio eti kwenda kujifunza
madaktari wanashindwa kutibia wananchi wake wanakurupuka kwenda kupambana na ebola kwa kisingizio eti kwenda kujifunza