nkosikazi
JF-Expert Member
- Mar 11, 2010
- 361
- 337
Nimeangalia BBC leo na kupata habari mbaya ya vita vya Iraq. Then zikaja habari a vita huko Afghanistan. Then vitahuko Pakistan jimbo la Waziristan na malaki ya wakimbizi. Iraq ndo usiseme tena. Ukienda Nigeria ya kaskazini Boko Haram wamepandisha mori kuua kila mtu.
Hii ikanifanya niingie Google maps na kuangalia ni maeneo yepi yameathirika na vita. Nimeshituka sana. Kumbe karibu asilimia 95 ya nchi za Kiislam ziko kwenye mapambano! Mapambano ya wenyewe kwa wenyewe au na wengine, alimradi ni vita tu! Kuanzia Somalia, Mali, Egypt, Libya, Afrika ya Kati, Sudan, Palestine, Syria, Iraq, nk. Karibu nchi zote za Kiislam isipokuwa Yemen, Oman, Saud Arabia na Qatar na UAE.
Hapo ndipo najiuliza: Tutapona na Zanzibar? Zanzibar ni nchi ya Kiislam, huo ndio ukweli. Je tutaweza kuicontain ndani ya muungano huu auni vyema tuwaache waende zao ili wasijeleta vita kama nchi nyingine za Kiislam?
Je inawezekana muundo wetu huu wa muungano ndio umesaidia tuwe na amani zaidi, however relative it is? Inawezekana kuwa kama tusingekuwa na huu muungano tungeona mabomu mengi aidi huko Zanzibar?
Naomba tujaribu kufikiri vizuri na tusilete sentiments za kijinga za udini tukikumbuka kuwa hata Egypt na Zanzbar na Iraq kuna Ukristo na makanisa yao.
Hii ikanifanya niingie Google maps na kuangalia ni maeneo yepi yameathirika na vita. Nimeshituka sana. Kumbe karibu asilimia 95 ya nchi za Kiislam ziko kwenye mapambano! Mapambano ya wenyewe kwa wenyewe au na wengine, alimradi ni vita tu! Kuanzia Somalia, Mali, Egypt, Libya, Afrika ya Kati, Sudan, Palestine, Syria, Iraq, nk. Karibu nchi zote za Kiislam isipokuwa Yemen, Oman, Saud Arabia na Qatar na UAE.
Hapo ndipo najiuliza: Tutapona na Zanzibar? Zanzibar ni nchi ya Kiislam, huo ndio ukweli. Je tutaweza kuicontain ndani ya muungano huu auni vyema tuwaache waende zao ili wasijeleta vita kama nchi nyingine za Kiislam?
Je inawezekana muundo wetu huu wa muungano ndio umesaidia tuwe na amani zaidi, however relative it is? Inawezekana kuwa kama tusingekuwa na huu muungano tungeona mabomu mengi aidi huko Zanzibar?
Naomba tujaribu kufikiri vizuri na tusilete sentiments za kijinga za udini tukikumbuka kuwa hata Egypt na Zanzbar na Iraq kuna Ukristo na makanisa yao.