Nchi za Afika zenye maendeleo ya viwanda

Nchi za Afika zenye maendeleo ya viwanda

Mstahiki Mea

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2018
Posts
5,593
Reaction score
10,123
Viwanda ndio uchumi imara, Kama huna viwanda vya kutosha huwezi kuwa na uchumi mzuri. Hakuna maendeleo au ukuaji mzuri wa kiuchumi bila kuwa na uzalishaji unaotokana na viwanda kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali hizi ndizo nchi zilizoendelea kiviwanda katika bara Africa.

1)- South Africa 🇿🇦

2)- Egypt 🇪🇬

3)- Morocco 🇲🇦

4)- Tunisia 🇹🇳

5)- Nigeria 🇳🇬

6)- Mauritius 🇲🇺

7)- Senegal 🇸🇳

8)- Kenya 🇰🇪

9)- Namibia 🇳🇦

10)- Cameroon 🇨🇲
 
Back
Top Bottom