Mangwea1900
JF-Expert Member
- May 29, 2025
- 2,485
- 3,224
Tulipo sio tulikotoka kisiasa, kielimu na hata kiuchumi. Yapo mazuri yamefanyika lakini yapo mabaya yamefanyika na kuacha majeraha katika mioyo na fikra zetu.
Hatuna taifa lingine isipokuwa Tanzania tunayoweza kujivunia na kuona fahari kwayo. Nini kifanyike angalau kufanya mioyo yetu iwe na matumaini na kuponga majeraha ya matukio yasiyofurahisha.
Mimi naanza na hili;
RUSHWA Hili ni dudu linaloitafuna nchi yetu na athari zake ni kubwa kwa kila ngazi. Yuko wapi Lyimo wa madawa ya kulevya katika "rushwa".
Hatuna taifa lingine isipokuwa Tanzania tunayoweza kujivunia na kuona fahari kwayo. Nini kifanyike angalau kufanya mioyo yetu iwe na matumaini na kuponga majeraha ya matukio yasiyofurahisha.
Mimi naanza na hili;
RUSHWA Hili ni dudu linaloitafuna nchi yetu na athari zake ni kubwa kwa kila ngazi. Yuko wapi Lyimo wa madawa ya kulevya katika "rushwa".