The great Beberu
Member
- Sep 20, 2020
- 27
- 51
Tujenge Nchi moja, viongozi wakitambua nchi ni Mali ya wananchi si Mali viongozi na pia wananchi wawe na maamuzi ktk nchi yao yasiovunja sheria walizojiwekea ili kudumisha upendo, amani, haki na umoja.
Huo ndio utakaokuwa urithi bora wa vizazi vilivyopo na vizazi vijavyo.
Huo ndio utakaokuwa urithi bora wa vizazi vilivyopo na vizazi vijavyo.