Nchi yangu imepata Uhuru!

Emashilla

Senior Member
May 24, 2012
138
26
Maswali:(1)Tanzania ilipata uhuru lini? (2)Tanganyika ilipata uhuru lini? (3)Mashariki Tanzania inapakana na Nchi gani?
 
wanasiasa hawana aya.ilibidi waseme uhuru wa Tanganyika na sio tanzania.tanzania ni muungano wa nchi mbili,sherehe zake ni za muungano.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom