Nakumbuka tulipokuwa shule ya msingi apa apa tz,katika somo la maarifa ya jamii/saizi Uraia.tulifundishwa na kuaminishwa kuwa Tanzania ina mihimili mitatu yaani serikali,bunge na mahakama na kila muhimili uko huru na hauingiliwi na mwingine,lakini ###hawakuandika kuwa hii mihimili inaweza kubadirika na kubaki miwili au mmoja kulingana na itakavyo amua serikali au raisi aliepo madarakani wa wakati huo.inabidi sasa serikali kupitia wizara ya elimu irekebishe kwenye kipengere kile wanafunzi waelewe mapema ili wajue mapema kupunguza lawama baadae wakijitambua.maana naona kwasasa ndivo hali ilivyo siri-kali imeiweka mihimili iliyo baki under arrest.mihimili hii miwili imewekwa kwapani wao ni ndio ndio ndio hakuna wanachofanya,kwakweli yachukiza hata haya hawaoni????.sijasoma katiba lakini sidhani Kama inasapoti ushuzi unaofanyika sasa.