Teslarati
JF-Expert Member
- Nov 21, 2019
- 1,735
- 6,796
Sina la kuandika zaidi sababu title imejielezea.
Sijaona visionary leader yyt kutoka upinzani hadi sasa, endeleeni tu kutimiza wajibu wenu wa kuikosoa serikali na kuchangamsha mitandao ya kijamii lakini kule juu sidhan kama mtafika, labda miaka 100 ijayo.
Tuongee ukweli ndugu zangu, nani visionary huko upinzani?
Mbowe? Sitaki kucomment sabab mnajua, yy mwenyewe anajua ndo maana huwa hagombei.
Lissu? Huyu hana quality yoyote ya kiongozi ila anajua harakati tu, kakosa Integrity hata kwenye maneno yake. Mara alisema magu kampiga risasi leo anamtetea tena. A leader should not necessarily be good or bad, but HE SHOULD BE UPRIGHT.
Slaa? Hayuko upright hana integrity kama Lissu tu
Zitto? No integrity
Mtataja wengine lakini upinzani bado sana kuwa na kiongozi mwenye guts za kuongoza nchi
Sijaona visionary leader yyt kutoka upinzani hadi sasa, endeleeni tu kutimiza wajibu wenu wa kuikosoa serikali na kuchangamsha mitandao ya kijamii lakini kule juu sidhan kama mtafika, labda miaka 100 ijayo.
Tuongee ukweli ndugu zangu, nani visionary huko upinzani?
Mbowe? Sitaki kucomment sabab mnajua, yy mwenyewe anajua ndo maana huwa hagombei.
Lissu? Huyu hana quality yoyote ya kiongozi ila anajua harakati tu, kakosa Integrity hata kwenye maneno yake. Mara alisema magu kampiga risasi leo anamtetea tena. A leader should not necessarily be good or bad, but HE SHOULD BE UPRIGHT.
Slaa? Hayuko upright hana integrity kama Lissu tu
Zitto? No integrity
Mtataja wengine lakini upinzani bado sana kuwa na kiongozi mwenye guts za kuongoza nchi