Nchi na Viongozi waliojaribu kutetea kulinda mali asili za nchi zao Afrika na matokeo yake

Tabutupu

JF-Expert Member
Nov 26, 2010
13,108
18,325
Uzi huu hauna lengo la kutetea maharamia toka nchi za magharibi, Ila natambua watu wana uelewa wa vita za kiuchumi hasa nchi za kiafrica zinapo taka kujitawala kiuchumi kwa kutumia nguvu zao na akili zao. Bara la Africa bado linatawaliwa kiunyonyaji sana na nchi za magharibi na anapotokea kiongozi mwenye akili za kugusa masalhi yao nadhani hawa jamaa huchukia sana.


Baadhi ya viongozi waliokua na maono ya kuziondoa nchi zao kutoka mikono ya wazungu ni hawa.

1. Patrick Lumumba (Aliuawa - wahusika CIA

2. Sankara - aliuawa ( Wahusika France)

3....

4....

wengine mtaongezea.

Nchi zote zilizo tawaliwa na wafaransandio zinaongoza kwa kuwa ondoa viongozi kwa nguvu ya jeshi na hili linatafsiriwa kama kuwakomoa viongozi ambao ni nationalist na wanataka kuziondoa nchi zao kwenye mikono ya wakoloni..


Je Tanzania tutapitaje katika hili LA dhahabu?

Je vyombo vya ulinzi vimejipanga vipi kukabiliana na mambo kama haya?


Katika hili Watanzania wote tushikamane , msaliti sharti adhibitiwe mapema.

Tuungane na Kamanda wetu Magufuli.
 
Acha Magufuli auwawe, lakini anabainisha UKWELI.
Na Kila nafsi itaonja mauti.
Kama unaogopa kufa shauri yako, lakini utakufa tu, by any mw
 
Acha Magufuli auwawe, lakini anabainisha UKWELI.
Na Kila nafsi itaonja mauti.
Kama unaogopa kufa shauri yako, lakini utakufa tu, by any mw
hakuna kitu kama hicho, Ila ni vizuri kuwa wamoja na kushirikiana katika hili si jambo dogo.
 
Umemsahau Gaddafi, kosa lake ni kutaka kuanzisha AB badala ya kutegemea WB, then tuanzishe AMF badala ya IMF, pia Africa turushe satellite yetu ya mawasiliano ya simu badala ya kuitegemea ITU.

Kwa sasa hapa tulipo, kupiga simu Rwanda hiyo simu lazima kwanza iende London kwa colonial masters wetu, kisha iende Paris kwa colonial masters wa Rwanda ndipo ifike Rwanda. Msumbiji lazima zipite Lisbon
Simu za Congo lazima zipite Belgium.

Angalau sisi nchi za Africa Mashariki it was easy kwa sababu tumetawaliwa na mkoloni mmoja, lakini Rwanda na Burundi ni majirani, Simu lazima kwanza ipite France, then Belgium ndipo ifike. Au Liberia na Sierra Leone, simu kwanza iende UK, then US ndipo ifike. Gaddafi akasema huu ni upuuzi. Ukiunganisha uchumi wa nchi zote za bara la Africa ni uchumi mkubwa kuliko wa Ulaya na America, hivyo akapendekeza tuungane kuunda a United States of Africa iitwe USAF tuwe na veto kwenye UN, tuwe na Benki yetu kila kitu tufanye wenyewe! .

Wakubwa wakakasirika waka m fix.

Paskali.
 
Hata wewe hutokubali auawe kma anayoyafanya ni maxuri kwa Taifa...hizo enxi za kunyanyasana ziliishaisha.
 
Hivi unaweza kuchukuliwa mke wako kwa vile anayekuchukulia mke wako ni mbabe?
 
Nia ya muheshmiwa kwa nchi yangu niliiona siku nyingi, na nilikuwa mmoja ya wanaomia nikisikia madili km escrow, rchmond na mengine pasipo kuchukuliwa hatua madhubuti. Kwa sasa muheshmiwa ndio anajaribu kuponya majeraha yangu hivyo nitamuunga mkono kwa uwezo wangu wote kadri itakavofaa.
 
Tukiachana na hilo la mchanga, bado sijaelewa ni kwanini tuliruhusu wawe wanachukua dhahabu BURE.
Yaani dhahabu wanayoichukua hawainunui wala kuilipia.
Mwisho wa siku ni kwamba wanalipa kodi tu, tena napo bado ni wanazidiwa hata na kampuni nyingine za kawaida.
Nadhani sisi tuna matatizo makubwa
 
CCM wakubali walifanya makosa katika mikataba na Mikataba yenye tija ndio solution kuwafukuza ni kujitafutia namba za kusoma maana there is no way to get rid of poverty kwa kuanzisha uhasama na mataifa yaliyoendelea hasa kiviwanda ilhali sisi tumeendelea ki-viwonder. Tutarudi enzi za nyerere
 
Uzi huu hauna lengo la kutetea maharamia toka nchi za magharibi, Ila natambua watu wana uelewa wa vita za kiuchumi hasa nchi za kiafrica zinapo taka kujitawala kiuchumi kwa kutumia nguvu zao na akili zao. Bara la Africa bado linatawaliwa kiunyonyaji sana na nchi za magharibi na anapotokea kiongozi mwenye akili za kugusa masalhi yao nadhani hawa jamaa huchukia sana.


Baadhi ya viongozi waliokua na maono ya kuziondoa nchi zao kutoka mikono ya wazungu ni hawa.

1. Patrick Lumumba (Aliuawa - wahusika CIA

2. Sankara - aliuawa ( Wahusika France)

3....

4....

wengine mtaongezea.

Nchi zote zilizo tawaliwa na wafaransandio zinaongoza kwa kuwa ondoa viongozi kwa nguvu ya jeshi na hili linatafsiriwa kama kuwakomoa viongozi ambao ni nationalist na wanataka kuziondoa nchi zao kwenye mikono ya wakoloni..


Je Tanzania tutapitaje katika hili LA dhahabu?

Je vyombo vya ulinzi vimejipanga vipi kukabiliana na mambo kama haya?
Rizki.jpg
 
Gaddafi huyu ndo alokuwa rais mwenye akiri sana africa na hatowahi kutokea africa.

Wote waliopo kwa sasa hakuna mwenye uwezo kwa kufikiri hata robooo hayupoo!
 
Back
Top Bottom