Nchi na Viongozi waliojaribu kutetea kulinda mali asili za nchi zao Afrika na matokeo yake

Tulisema hapa kuwa Magufuli ndiye rais anayetufaa hapa Tanzania watu wakakasirika na wengine wakataka kujiua. Tumuunge mkono rais wetu shujaa.
 
Hawa viongozi walifikwa na haya yote kwa sababu ya Usaliti, ubinafsi na ujinga wa watu wao wa karibu. Watu waliowaamini na kuwaweka karibu wawasaidie kuongoza nchi zao waliwageuka wakaamua kuwatumikia wakoloni. Sisi ndio tunawapa nafsi ya kuendelea kutunyonya.
 
Hawa viongozi walifikwa na haya yote kwa sababu ya Usaliti, ubinafsi na ujinga wa watu wao wa karibu. Watu waliowaamini na kuwaweka karibu wawasaidie kuongoza nchi zao waliwageuka wakaamua kuwatumikia wakoloni. Sisi ndio tunawapa nafsi ya kuendelea kutunyonya.
Ndio jambo ambalo kwa sasa tunatakiwa kuwa makini nalo.
 
Umemsahau Gaddafi, kosa lake ni kutaka kuanzisha AB badala ya kutegemea WB, then tuanzishe AMF badala ya IMF, pia Africa turushe satellite yetu ya mawasiliano ya simu badala ya kuitegemea ITU.

Kwa sasa hapa tulipo, kupiga simu Rwanda hiyo simu lazima kwanza iende London kwa colonial masters wetu, kisha iende Paris kwa colonial masters wa Rwanda ndipo ifike Rwanda. Msumbiji lazima zipite Lisbon
Simu za Congo lazima zipite Belgium.

Angalau sisi nchi za Africa Mashariki it was easy kwa sababu tumetawaliwa na mkoloni mmoja, lakini Rwanda na Burundi ni majirani, Simu lazima kwanza ipite France, then Belgium ndipo ifike. Au Liberia na Sierra Leone, simu kwanza iende UK, then US ndipo ifike. Gaddafi akasema huu ni upuuzi. Ukiunganisha uchumi wa nchi zote za bara la Africa ni uchumi mkubwa kuliko wa Ulaya na America, hivyo akapendekeza tuungane kuunda a United States of Africa iitwe USAF tuwe na veto kwenye UN, tuwe na Benki yetu kila kitu tufanye wenyewe! .

Wakubwa wakakasirika waka m fix.

Paskali.
Hata sadam alitaka kuanzisha ishu kama ya Gadafi nae wakamuahi.
Maana alitaka exchange isiwe dola tena but gold kama alivyotaka gadafi.
But CIA wakikutaka jua watakupata tu hata kama ni kuivuruga nchi yote kama walivyofanya kwa gadafi
 
Lakini.mwisho wa siku haya mambo atakayekuja kulipa kwa damu au kwa njaa ni masikini wa hiyo nchi ndio wanakuwa sadaka. Sio rais wala kiongozi yeyote Tetea raslimali but pia angalia na roho za hao unaowatetea na ndio maana Mandela alianzisha kamati za maelewano
 
Sisi wapinzani wazee wakupinga kila kitu tunasema hatua ya Rais sio sahihi. Kwanini tuwakwaze wakubwa, tutaishia kuwalipa kama IPTL na escrow ni bora angeacha tu waendelee kuiba hadi mikataba itapoisha sisi tutavumilia. Tunawapenda sana wawekezaji hatuwezi waudhi watatupeleka kwenye tribunals za kimataifa.

Sincerely,
Wazee wakupinga kila kitu WAPINZANI.
 
Tukiachana na hilo la mchanga, bado sijaelewa ni kwanini tuliruhusu wawe wanachukua dhahabu BURE.
Yaani dhahabu wanayoichukua hawainunui wala kuilipia.
Mwisho wa siku ni kwamba wanalipa kodi tu, tena napo bado ni wanazidiwa hata na kampuni nyingine za kawaida.
Nadhani sisi tuna matatizo makubwa

Mkapa na Chenge
 
Sisi wapinzani wazee wakupinga kila kitu tunasema hatua ya Rais sio sahihi. Kwanini tuwakwaze wakubwa, tutaishia kuwalipa kama IPTL na escrow ni bora angeacha tu waendelee kuiba hadi mikataba itapoisha sisi tutavumilia. Tunawapenda sana wawekezaji hatuwezi waudhi watatupeleka kwenye tribunals za kimataifa.

Sincerely,
Wazee wakupinga kila kitu WAPINZANI.
mbona unakutupuka, sijaona MTU anapinga humu kwenye Uzi,
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom