mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
kama haman hoja msilete upumbavu humu
Jisahihishe kabla ujasahihishwa Maana ukisahihishwa sahisho laku utaulumu msaahishajikama haman hoja msilete upumbavu humu
Hivi ndugu zangu kuwa na marais watano katika nchi maskini kama Tanzania ni kuongeza utawala bora ua ni kujiongezea umasikini. Zanzibar kuna marais 3 na muungano 2 je huu si mzigo kwetu. Katiba mpya itupe suluhu ktk hili.
Hivi ndugu zangu kuwa na marais watano katika nchi maskini kama Tanzania ni kuongeza utawala bora ua ni kujiongezea umasikini. Zanzibar kuna marais 3 na muungano 2 je huu si mzigo kwetu. Katiba mpya itupe suluhu ktk hili.
Wewe mpumbavu kweli, hivi unataka rais adumu miaka 50 ndo uone kuwa tunaendelea? Watu wanapigania muhula uwe mmoja tu wewe unataka kutuletea upupu wako humu. Nyie ndo vibaraka mnaotaka kutumia kuiharibu katibat na kuleta machafuko.
Wote mliotukana humu badala ya kuchangia mada ni wapumbafu kama mkolosai.
Bora tukifute cheo cha rais kwenye katiba. Tuongozwe na mtu mmoja tu. Waziri Mkuu, sawa?Hivi ndugu zangu kuwa na marais watano katika nchi maskini kama Tanzania ni kuongeza utawala bora ua ni kujiongezea umasikini. Zanzibar kuna marais 3 na muungano 2 je huu si mzigo kwetu. Katiba mpya itupe suluhu ktk hili.