Nchi moja tena maskini lakini marais watano (5) ~ Tanzania!

Welu

JF-Expert Member
Jul 5, 2011
852
301
Hivi ndugu zangu kuwa na marais watano katika nchi maskini kama Tanzania ni kuongeza utawala bora ua ni kujiongezea umasikini. Zanzibar kuna marais 3 na muungano 2 je huu si mzigo kwetu. Katiba mpya itupe suluhu ktk hili.
 
Wewe mpumbavu kweli, hivi unataka rais adumu miaka 50 ndo uone kuwa tunaendelea? Watu wanapigania muhula uwe mmoja tu wewe unataka kutuletea upupu wako humu. Nyie ndo vibaraka mnaotaka kutumia kuiharibu katibat na kuleta machafuko.
 
Wewe mpumbavu kweli, hivi unataka rais adumu miaka 50 ndo uone kuwa tunaendelea? Watu wanapigania muhula uwe mmoja tu wewe unataka kutuletea upupu wako humu. Nyie ndo vibaraka mnaotaka kutumiwa kuiharibu katiba na kuleta machafuko.
 
Wewe mpumbavu kweli, hivi unataka rais adumu miaka 50 ndo uone kuwa tunaendelea? Watu wanapigania muhula uwe mmoja tu wewe unataka kutuletea upupu wako humu. Nyie ndo vibaraka mnaotaka kutumia kuiharibu katibat na kuleta machafuko.

Sijui nani mpumbavu kati yako wewe ambaye hujaelewa mada na aliyetoa maada ambayo ni ya msingi! Mwenzio anasema ndani ya term moja, au leo as in today our mother land has 5 presidents not over the cause of 5 decades! Na akaendelea kufafanua Znzb kuna raisi na Makamu 2 making a total of 3 na bara kuna 2.
Acha kutukana watu wewe!
 
Sijui nani mpumbavu kati yako wewe ambaye hujaelewa mada na aliyetoa maada ambayo ni ya msingi! Mwenzio anasema ndani ya term moja, au leo as in today our mother land has 5 presidents not over the cause of 5 decades! Na akaendelea kufafanua Znzb kuna raisi na Makamu 2 making a total of 3 na bara kuna 2.
Acha kutukana watu wewe!

Hata mi nashangaa mpumbavu ni nani hapo!
 
Wewe mpumbavu kweli, hivi unataka rais adumu miaka 50 ndo uone kuwa tunaendelea? Watu wanapigania muhula uwe mmoja tu wewe unataka kutuletea upupu wako humu. Nyie ndo vibaraka mnaotaka kutumiwa kuiharibu katiba na kuleta machafuko.

Soma mada ukisha elewa ndiyo uchangie. Wakati mwingine jitahidi kupiga mswaki asubuhi kabala ya kuja huku jamvini. Harufu ya kinywa chako kimetuchefua sana asubuhi hii hapa jamvini.
 
Wewe mpumbavu kweli, hivi unataka rais adumu miaka 50 ndo uone kuwa tunaendelea? Watu wanapigania muhula uwe mmoja tu wewe unataka kutuletea upupu wako humu. Nyie ndo vibaraka mnaotaka kutumiwa kuiharibu katiba na kuleta machafuko.

Hivi umesoma mada au umesomewa na asiyejua kusoma?
 
Hivi ndugu zangu kuwa na marais watano katika nchi maskini kama Tanzania ni kuongeza utawala bora ua ni kujiongezea umasikini. Zanzibar kuna marais 3 na muungano 2 je huu si mzigo kwetu. Katiba mpya itupe suluhu ktk hili.

Hii ndio TZ ambayo haijali ustawi wa wananchi wake bali matumbo yao. Matumizi ya rais mmoja na wasaidizi wake kwa mwaka yanatosha kumaliza tatizo la vitabu katika shule za msingi.
 
Wewe mpumbavu kweli, hivi unataka rais adumu miaka 50 ndo uone kuwa tunaendelea? Watu wanapigania muhula uwe mmoja tu wewe unataka kutuletea upupu wako humu. Nyie ndo vibaraka mnaotaka kutumia kuiharibu katibat na kuleta machafuko.

mkolosai kiswahili kigumu au umepata cha arusha?yan wanajf wanaelewa kati yako na mleta mada nani mpumbavu! marais 5 wengi jaman!
 
wewe mpumbavu kweli, hivi unataka rais adumu miaka 50 ndo uone kuwa tunaendelea? Watu wanapigania muhula uwe mmoja tu wewe unataka kutuletea upupu wako humu. Nyie ndo vibaraka mnaotaka kutumia kuiharibu katibat na kuleta machafuko.
usilete upolisi wako humu,mambo ya geshi la bolisi peleka sentero abande!
 
Welu bongo ni nchi ya ajabu sana,hapa kwa haraka maraisi wanne kila miaka5 na sasa ni5 ukimwongeza mwanaccm B hon.seif ,ina maana tangu uhuru tuna marais17 wake zao ni23 na watoto4 mara 17,majaji wastaafu,mawaziri wakuu. Yote ni mizigo ya taifa,bado madini tumempa mwekezaji alaf tuseme tz maskini? huu ni ukanjanja!
 
Wewe mpumbavu kweli, hivi unataka rais adumu miaka 50 ndo uone kuwa tunaendelea? Watu wanapigania muhula uwe mmoja tu wewe unataka kutuletea upupu wako humu. Nyie ndo vibaraka mnaotaka kutumiwa kuiharibu katiba na kuleta machafuko.

Usiwe kama wakolosai wasiopenda kusikia, soma kwanza mada uielewe halafu ufikirie cha kuchangia halafu jifunze kusoma habari nzima acha uvivu ndugu. Nitarudi baadae
 
Wewe mpumbavu kweli, hivi unataka rais adumu miaka 50 ndo uone kuwa tunaendelea? Watu wanapigania muhula uwe mmoja tu wewe unataka kutuletea upupu wako humu. Nyie ndo vibaraka mnaotaka kutumia kuiharibu katibat na kuleta machafuko.



Wewe ndiye kilaza hopeless kabisa....hv umeelewa alichoandika mtoa mada?
 
Wewe mpumbavu kweli, hivi unataka rais adumu miaka 50 ndo uone kuwa tunaendelea? Watu wanapigania muhula uwe mmoja tu wewe unataka kutuletea upupu wako humu. Nyie ndo vibaraka mnaotaka kutumia kuiharibu katibat na kuleta machafuko.

Haaaaa HUJAMUELEWA, Ana maanisha muungano ni Kikwete na Bilali, Zanzibar ni Shein, Seif na sijuhi nani yule mwingine,
au huoni ni watano?
 
Wewe mpumbavu kweli, hivi unataka rais adumu miaka 50 ndo uone kuwa tunaendelea? Watu wanapigania muhula uwe mmoja tu wewe unataka kutuletea upupu wako humu. Nyie ndo vibaraka mnaotaka kutumia kuiharibu katibat na kuleta machafuko.

Aombe radhi ili yaishe.
 
Wewe mpumbavu kweli, hivi unataka rais adumu miaka 50 ndo uone kuwa tunaendelea? Watu wanapigania muhula uwe mmoja tu wewe unataka kutuletea upupu wako humu. Nyie ndo vibaraka mnaotaka kutumia kuiharibu katibat na kuleta machafuko.

Kwani hapo kosa lake ni nini? Au mi sijamuelewa!
 
Sijui nani mpumbavu kati yako wewe ambaye hujaelewa mada na aliyetoa maada ambayo ni ya msingi! Mwenzio anasema ndani ya term moja, au leo as in today our mother land has 5 presidents not over the cause of 5 decades! Na akaendelea kufafanua Znzb kuna raisi na Makamu 2 making a total of 3 na bara kuna 2.
Acha kutukana watu wewe!

matatizo ya kucomment title hayo kweli mitz mivivu kusoma..
 
Wote mliotukana humu badala ya kuchangia mada ni wapumbafu kama mkolosai.

Tatizo mkolosai kachafua hali ya hewa na kama unavyojua hali ya hewa ikishachafuka kila mtu anashika pua na kutafuta mahala pa kutokea sasa ili watu warudi kwenye mada mchafuzi aje aondoe kauli yake laasivyo watu wataendelea kushika pua
 
Back
Top Bottom