Wanajanvi,
Nimeona kwenye facebook wall ya Heche Mkiti wa BAVICHA Taifa ikiwa na maneno yafuatayo. Nawasilisha.
BAVICHA tunasikitishwa na hali ya nchi.Hakuna umeme wala mafuta,utawala wa Rais Kikwete umeshindwa kutatua matatizo ya watanzania.Kama waTZ waliamua kununua majenereta ili kukabiliana na tatizo la mgao wa umeme, sasa hamkuna hata mafuta ya kuendeshea hayo majenereta.
Alipohojiwa na BBC akiwa Afrika Kusini alisema tatizo la umeme ni mvua na mabwawa kukauka na yeye sio Mungu hawezi kuleta mvua.Je Tatizo la mafuta nalo ni mvua?
Watanzania kuna kila sababu ya kutafakari upya hatma ya nchi yetu.
Nimeona kwenye facebook wall ya Heche Mkiti wa BAVICHA Taifa ikiwa na maneno yafuatayo. Nawasilisha.
BAVICHA tunasikitishwa na hali ya nchi.Hakuna umeme wala mafuta,utawala wa Rais Kikwete umeshindwa kutatua matatizo ya watanzania.Kama waTZ waliamua kununua majenereta ili kukabiliana na tatizo la mgao wa umeme, sasa hamkuna hata mafuta ya kuendeshea hayo majenereta.
Alipohojiwa na BBC akiwa Afrika Kusini alisema tatizo la umeme ni mvua na mabwawa kukauka na yeye sio Mungu hawezi kuleta mvua.Je Tatizo la mafuta nalo ni mvua?
Watanzania kuna kila sababu ya kutafakari upya hatma ya nchi yetu.