mahwahwajr
Member
- Jun 10, 2010
- 18
- 22
Ndugu wanabodi,
Mjadala mkubwa hivi sasa nchini kwetu ni juu ya nani atakuwa kiongozi mkuu na kwa sasa mazungumzo yanawalenga zaidi watu wawili kwa maana ya Dr John Pombe Magufuli wa CCM na Mh Lowassa kwa upande wa UKAWA. Kwa bahati mbaya sana na kwa kusaidiwa na vyombo vya habari ambavyo kwa maoni yangu naona haviitendei haki nchi yetu, sasa hatujadili nini nchi yetu inahitaji na/au ni kiongozi mwenye qualities zipi tunahitaji ili kutoka hapa tulipo na kwenda mbele zaidi.
Mjadala sasa umekuwa juu ya mahudhurio ya watu kwenye mikutano na sio issues. SAD!!
Nimepata bahati ya kutafiti kazi za mgombea wa CCM Dr Magufuli hasa akiwa Wizara ya Ujenzi. Kwa maoni yangu huyu bwana ni MCHAPA KAZI hodari sana, sana. Sikumbuki kama tumewahi kupata kuwa na waziri mwenye uwezo mkubwa wa kiutendaji kama wa mheshimiwa Magufuli katika miaka ya hivi karibuni.
Tukiondoa ushabiki na madai ya mabadiliko ilhali nchi yetu inahitaji transformation, namuona Dr Magufuli akitufaa na kutuvusha kwenda hatua ya juu zaidi. Video hii hapa nchi ni ushuhuda wa namna bwana huyu alivyo mtendaji hodari.
Mjadala mkubwa hivi sasa nchini kwetu ni juu ya nani atakuwa kiongozi mkuu na kwa sasa mazungumzo yanawalenga zaidi watu wawili kwa maana ya Dr John Pombe Magufuli wa CCM na Mh Lowassa kwa upande wa UKAWA. Kwa bahati mbaya sana na kwa kusaidiwa na vyombo vya habari ambavyo kwa maoni yangu naona haviitendei haki nchi yetu, sasa hatujadili nini nchi yetu inahitaji na/au ni kiongozi mwenye qualities zipi tunahitaji ili kutoka hapa tulipo na kwenda mbele zaidi.
Mjadala sasa umekuwa juu ya mahudhurio ya watu kwenye mikutano na sio issues. SAD!!
Nimepata bahati ya kutafiti kazi za mgombea wa CCM Dr Magufuli hasa akiwa Wizara ya Ujenzi. Kwa maoni yangu huyu bwana ni MCHAPA KAZI hodari sana, sana. Sikumbuki kama tumewahi kupata kuwa na waziri mwenye uwezo mkubwa wa kiutendaji kama wa mheshimiwa Magufuli katika miaka ya hivi karibuni.
Tukiondoa ushabiki na madai ya mabadiliko ilhali nchi yetu inahitaji transformation, namuona Dr Magufuli akitufaa na kutuvusha kwenda hatua ya juu zaidi. Video hii hapa nchi ni ushuhuda wa namna bwana huyu alivyo mtendaji hodari.
Last edited by a moderator: