Mimi nadhani wamejitahidi kuchukua hatua. Kumbuka akina Dr Nchimbi na wenzio wapo wapi. Hili lilikuwa ni sakata la Operesheni TOKOMEZA . Sakata la ESCROW nalo liliondoka na wengi. Huko nyuma akina Zombe, Mramba, na wengine walishughulikwa. Nadhani ipo haja ya kuangalia upya suala la kusema CCM wanalindana.
Kumbuka hili lilikomaliwa na bunge yaani bunge ndio wakomae mawaziri wawajibishwe? Rais haoni wana kosa?na mara nyingi zikitokea tuhuma zinazowahusu mawaziri anakuwa yuko nje ya nchi na akirudi wala hashughuliki nao. Haaa too much sasa.