MURUSI
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 4,496
- 8,734
Kinacho endelea baada ya TEC kutoa Walaka ni refliction ya watanzania walivyo weupe vichwani,Ukiangalia tu hata humu Jf mtu anaweza kuja na Maada yake na kitakacho fuatiwa ni attacking binafisi na wala sio kujibu hoja.
Tusha shuhudia mara kibao hata huko Serikalini huwa watu wa kujibu hoja ni adimu sana na hoja zao huwa zinajibiwa na Police, au AK 47, au ndio UVCCM huitwa na kuanza kutishia badala ya kujibu hoja.
Hili tatizo lipo sana hata huko Makazini, ni triend ya nchi nzima.
Wanao jibu walaka wa Maaskofu hadi sasa naona matusi hakuna hata mmoja amekuja na Fact kuwapinga TEC, yaani swala la kujibu hoja kwa Tanzania ni sawa na kutafuta Bikira kwemye Wodi ya Wazazi.
Kwenye walaka sijaona sehemu mtu ali atackiwa, sijaona mahala Dini ya mtu alitajwa ila sasa wajibu walaka wote ni full attacking Maaskofu na Kanisa kwa ujumla.
Hii sio Jambo geni kwa Bongo, tuna shida sana linapo kuja swala la kujibu hoja kwa hoja, Hapo unaweza shangaa utatukaniwa hadi wazazi wako na watoto wako.
Tusha shuhudia mara kibao hata huko Serikalini huwa watu wa kujibu hoja ni adimu sana na hoja zao huwa zinajibiwa na Police, au AK 47, au ndio UVCCM huitwa na kuanza kutishia badala ya kujibu hoja.
Hili tatizo lipo sana hata huko Makazini, ni triend ya nchi nzima.
Wanao jibu walaka wa Maaskofu hadi sasa naona matusi hakuna hata mmoja amekuja na Fact kuwapinga TEC, yaani swala la kujibu hoja kwa Tanzania ni sawa na kutafuta Bikira kwemye Wodi ya Wazazi.
Kwenye walaka sijaona sehemu mtu ali atackiwa, sijaona mahala Dini ya mtu alitajwa ila sasa wajibu walaka wote ni full attacking Maaskofu na Kanisa kwa ujumla.
Hii sio Jambo geni kwa Bongo, tuna shida sana linapo kuja swala la kujibu hoja kwa hoja, Hapo unaweza shangaa utatukaniwa hadi wazazi wako na watoto wako.