Hakuna baya ndani ya uwekezaji wa DP World, tatizo CCM ilizidiwa kwenye kujibu hoja na uzushi

Michael Uledi

Senior Member
Mar 29, 2023
132
322
Unaweza kusema kuwa wazushi wapotoshaji na wapinzani wa Chama cha Mapinduzi na Serikali yake walikuwa wamejipanga zaidi kila kona kuliko ambavyo CCM na Serikali yake ilivyojipanga.

Laiti CCM ingeweza kuwatumia vizuri makada wake na watu wenye akili kubwa kama Profesa Kitila Mkumbo basi ni wazi labda ngoma ingekuwa Draw kati ya Upotoshaji dhidi ya Ukweli au Ukweli ungefunika Upotoshaji.

Msemaji Mkuu wa Serikali pamoja na timu yake ya Maofisa Habari, Elimu na Mawasiliano ndani ya taasisi za Serikali zilishindwa kabisa kutengeneza "team" ya Utetezi dhidi ya hoja muhimu ya uwekezaji wa Bandari ya Dar es salaam.

Maofisa Habari wa Serikali Mfano, Ofisa Habari wa Wizara ya Viwanda Biashara na Uwekezaji angeweza kujustify Uwekezaji wa DP World katika kukuza biashara na Uwekezaji Nchini hivyo kuweza kuisaidia Serikali kutekeleza mradi huo muhimu kwa Taifa.

Kurugenzi ya Mawasiliano- Ikulu ilikuwa likizo ya bila malipo wakati wote wa sakata hilo na kuonyesha uwezo mdogo wa kujibu na kumlinda image ya Mh Rais pamoja na Ofisi yake.Profesa Mkumbo pekee yake ndio mtu pekee aliyeweza kuibeba Serikali kwa kutoa maelezo ambayo yalikuwa wamenyooka zaidi Bungeni.

Kwa upande wa Chama pia kulikuwa na "vaccum"kubwa katika kujibu hoja baada ya Ofisi za Makatibu wa Siasa na Uenezi wa Mikoa na Wilaya nao pia walikuwa likizo katika kuisemea Serikali yao ya awamu ya Sita ya Mama Samia Suluhu Hassan.Sitegemei tena kuona ukimya wa watu hao(Makatibu wa CCM wa Siasa na Uenezi)Mikoa na Wilaya.

Kwa kifupi maelekezo ya NEC kwa Serikali kuongeza elimu kwa Umma kuhusu Mkataba huo yanathibitisha uwepo wa obwe kubwa la Mawasiliano katika taasisi kadha ndani na nje ya Serikali ya awamu ya Sita.Rais Samia Suluhu Hassan mara kadhaa amesisitiza kuwa Maofisa Habari wa Serikali watoke ",likizo" na kuanza kuisemea Serikali lakini wapi.

Nitashangaa kama hakutakuwa na mabadiliko ya haraka katika maeneo muhimu ya Mawasiliano ndani na nje ya Serikali.

Tulizidiwa sababu hatukuwa na watu strategic wa kucounter mashambulizi ya Wapotishaji walikuwa wamejipanga sana this time.

+255746826484.
 
Umeandika na namba ili utafutwe uwe chawa mpya?

Nilitegemea nawe utazijibu hoja ambazo watu wanazilalamikia kuhusu huo mkataba au makubaliano kwa namna mnavyoita.

Hebu tuoneshe mfano wakujibu hoja zilizotolewa kuwa haufai.


Ila elewa hawajizidiwa ila hazijibiki
 
Idara ya uenezi wa chama na UV-CCM ya sasa ni bure kabisa. Katibu mwenezi hakutakiwa kuwa huyu wa sasa, hivi lazima kumweka mwanamke kwasababu ni mwanamke au tunaangalia uwezo? Huyu wa sasa hamna kitu kabisa. Mwenyekiti wa UV-CCM Taifa naye amechaguliwa kwasababu ya uzanzibari wake, hiki chama safu ya uongozi wa sasa ni dhaifu sana. Ingekuwa enzi za kheri James mwenyekiti wa UV-CCM na POLEPOLE katibu wa uenezi wapotoshaji wangepata majibu stahiki. Shida ya watanzania kila mtu akipata uongozi anataka aweke watu wake hata km hawana uwezo. Wakipita 2030 wakatambike maana safu iliyopo ni dhaifu sana. Wenyeviti wa jumuiya karibu wote ni dhaifu, sijui ni elimu au ni uwezo tu binafsi, ila inaonekana ni watu wasiojishughulisha hata ktk kuongeza maarifa.
 
Unaweza kusema kuwa wazushi wapotoshaji na wapinzani wa Chama cha Mapinduzi na Serikali yake walikuwa wamejipanga zaidi kila kona kuliko ambavyo CCM na Serikali yake ilivyojipanga.
Mkuu, nina haya maswali yangu kama umeusoma mkataba naomba unijibu.

1./ Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

2./ Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

3./ Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

4./ Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

Ila wew kwa uandishi wako nina uhakika Sa100, Waziri na Katibu niwenzako kutoka Zenji. Kwa raia mwenye asili ya Tanganyika, na mwenye akili timamu hawezi kuwa mnafiki kwenye hili la Bandari.
 
 
Unaweza kusema kuwa wazushi wapotoshaji na wapinzani wa Chama cha Mapinduzi na Serikali yake walikuwa wamejipanga zaidi kila kona kuliko ambavyo CCM na Serikali yake ilivyojipanga.

Laiti CCM ingeweza kuwatumia vizuri makada wake na watu wenye akili kubwa kama Profesa Kitila Mkumbo basi ni wazi labda ngoma ingekuwa Draw kati ya Upotoshaji dhidi ya Ukweli au Ukweli ungefunika Upotoshaji.

Msemaji Mkuu wa Serikali pamoja na timu yake ya Maofisa Habari, Elimu na Mawasiliano ndani ya taasisi za Serikali zilishindwa kabisa kutengeneza "team" ya Utetezi dhidi ya hoja muhimu ya uwekezaji wa Bandari ya Dar es salaam.

Maofisa Habari wa Serikali Mfano, Ofisa Habari wa Wizara ya Viwanda Biashara na Uwekezaji angeweza kujustify Uwekezaji wa DP World katika kukuza biashara na Uwekezaji Nchini hivyo kuweza kuisaidia Serikali kutekeleza mradi huo muhimu kwa Taifa.

Kurugenzi ya Mawasiliano- Ikulu ilikuwa likizo ya bila malipo wakati wote wa sakata hilo na kuonyesha uwezo mdogo wa kujibu na kumlinda image ya Mh Rais pamoja na Ofisi yake.Profesa Mkumbo pekee yake ndio mtu pekee aliyeweza kuibeba Serikali kwa kutoa maelezo ambayo yalikuwa wamenyooka zaidi Bungeni.

Kwa upande wa Chama pia kulikuwa na "vaccum"kubwa katika kujibu hoja baada ya Ofisi za Makatibu wa Siasa na Uenezi wa Mikoa na Wilaya nao pia walikuwa likizo katika kuisemea Serikali yao ya awamu ya Sita ya Mama Samia Suluhu Hassan.Sitegemei tena kuona ukimya wa watu hao(Makatibu wa CCM wa Siasa na Uenezi)Mikoa na Wilaya.

Kwa kifupi maelekezo ya NEC kwa Serikali kuongeza elimu kwa Umma kuhusu Mkataba huo yanathibitisha uwepo wa obwe kubwa la Mawasiliano katika taasisi kadha ndani na nje ya Serikali ya awamu ya Sita.Rais Samia Suluhu Hassan mara kadhaa amesisitiza kuwa Maofisa Habari wa Serikali watoke ",likizo" na kuanza kuisemea Serikali lakini wapi.

Nitashangaa kama hakutakuwa na mabadiliko ya haraka katika maeneo muhimu ya Mawasiliano ndani na nje ya Serikali.

Tulizidiwa sababu hatukuwa na watu strategic wa kucounter mashambulizi ya Wapotishaji walikuwa wamejipanga sana this time.

+255746826484.

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Suala la ubovu wa mkataba haliondolewi kwa CCM kujipanga vizuri kupiga propaganda watanzania muwe serious na nchi yenu!
 
Unaweza kusema kuwa wazushi wapotoshaji na wapinzani wa Chama cha Mapinduzi na Serikali yake walikuwa wamejipanga zaidi kila kona kuliko ambavyo CCM na Serikali yake ilivyojipanga.

Laiti CCM ingeweza kuwatumia vizuri makada wake na watu wenye akili kubwa kama Profesa Kitila Mkumbo basi ni wazi labda ngoma ingekuwa Draw kati ya Upotoshaji dhidi ya Ukweli au Ukweli ungefunika Upotoshaji.

Msemaji Mkuu wa Serikali pamoja na timu yake ya Maofisa Habari, Elimu na Mawasiliano ndani ya taasisi za Serikali zilishindwa kabisa kutengeneza "team" ya Utetezi dhidi ya hoja muhimu ya uwekezaji wa Bandari ya Dar es salaam.

Maofisa Habari wa Serikali Mfano, Ofisa Habari wa Wizara ya Viwanda Biashara na Uwekezaji angeweza kujustify Uwekezaji wa DP World katika kukuza biashara na Uwekezaji Nchini hivyo kuweza kuisaidia Serikali kutekeleza mradi huo muhimu kwa Taifa.

Kurugenzi ya Mawasiliano- Ikulu ilikuwa likizo ya bila malipo wakati wote wa sakata hilo na kuonyesha uwezo mdogo wa kujibu na kumlinda image ya Mh Rais pamoja na Ofisi yake.Profesa Mkumbo pekee yake ndio mtu pekee aliyeweza kuibeba Serikali kwa kutoa maelezo ambayo yalikuwa wamenyooka zaidi Bungeni.

Kwa upande wa Chama pia kulikuwa na "vaccum"kubwa katika kujibu hoja baada ya Ofisi za Makatibu wa Siasa na Uenezi wa Mikoa na Wilaya nao pia walikuwa likizo katika kuisemea Serikali yao ya awamu ya Sita ya Mama Samia Suluhu Hassan.Sitegemei tena kuona ukimya wa watu hao(Makatibu wa CCM wa Siasa na Uenezi)Mikoa na Wilaya.

Kwa kifupi maelekezo ya NEC kwa Serikali kuongeza elimu kwa Umma kuhusu Mkataba huo yanathibitisha uwepo wa obwe kubwa la Mawasiliano katika taasisi kadha ndani na nje ya Serikali ya awamu ya Sita.Rais Samia Suluhu Hassan mara kadhaa amesisitiza kuwa Maofisa Habari wa Serikali watoke ",likizo" na kuanza kuisemea Serikali lakini wapi.

Nitashangaa kama hakutakuwa na mabadiliko ya haraka katika maeneo muhimu ya Mawasiliano ndani na nje ya Serikali.

Tulizidiwa sababu hatukuwa na watu strategic wa kucounter mashambulizi ya Wapotishaji walikuwa wamejipanga sana this time.

+255746826484.

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Mwanzoni ilidhaniwa kuwa wapinzani wa mabadiliko bandarini ni kina GSM na wafanyabiashara wengine waliozoea magumashi hapo bandarini.

Ikaja kugundulika kuwa vita inaanzia juu zaidi kwa maana ya World Bank kutopenda maamuzi ya kiserikali ya kumpa biashara DPW, lakini ni kampuni iliyowahi kukamata biashara za kule DRC na Rwanda ametengeneza the whole logistic chain ya kibiashara.

Watu wanamtazama DPW kwa fikra za bandari ilivyokuwa ikiendeshwa miaka iliyopita hawamtazami kama ni mmiliki pia wa mzigo mpana utakaokuwa ukiitumia reli ya SGR.

Wengi wetu tunaishia vichwani tukiwa na maana ya kizamani ya bandari kwamba ni ushushaji na upakiaji wa makontena kwenye meli na sio zaidi ya hapo. Bandari ni zaidi ya upakiaji na upakuaji wa mizigo ni dhana pana sana.
 
Unaweza kusema kuwa wazushi wapotoshaji na wapinzani wa Chama cha Mapinduzi na Serikali yake walikuwa wamejipanga zaidi kila kona kuliko ambavyo CCM na Serikali yake ilivyojipanga.

Laiti CCM ingeweza kuwatumia vizuri makada wake na watu wenye akili kubwa kama Profesa Kitila Mkumbo basi ni wazi labda ngoma ingekuwa Draw kati ya Upotoshaji dhidi ya Ukweli au Ukweli ungefunika Upotoshaji.

Msemaji Mkuu wa Serikali pamoja na timu yake ya Maofisa Habari, Elimu na Mawasiliano ndani ya taasisi za Serikali zilishindwa kabisa kutengeneza "team" ya Utetezi dhidi ya hoja muhimu ya uwekezaji wa Bandari ya Dar es salaam.

Maofisa Habari wa Serikali Mfano, Ofisa Habari wa Wizara ya Viwanda Biashara na Uwekezaji angeweza kujustify Uwekezaji wa DP World katika kukuza biashara na Uwekezaji Nchini hivyo kuweza kuisaidia Serikali kutekeleza mradi huo muhimu kwa Taifa.

Kurugenzi ya Mawasiliano- Ikulu ilikuwa likizo ya bila malipo wakati wote wa sakata hilo na kuonyesha uwezo mdogo wa kujibu na kumlinda image ya Mh Rais pamoja na Ofisi yake.Profesa Mkumbo pekee yake ndio mtu pekee aliyeweza kuibeba Serikali kwa kutoa maelezo ambayo yalikuwa wamenyooka zaidi Bungeni.

Kwa upande wa Chama pia kulikuwa na "vaccum"kubwa katika kujibu hoja baada ya Ofisi za Makatibu wa Siasa na Uenezi wa Mikoa na Wilaya nao pia walikuwa likizo katika kuisemea Serikali yao ya awamu ya Sita ya Mama Samia Suluhu Hassan.Sitegemei tena kuona ukimya wa watu hao(Makatibu wa CCM wa Siasa na Uenezi)Mikoa na Wilaya.

Kwa kifupi maelekezo ya NEC kwa Serikali kuongeza elimu kwa Umma kuhusu Mkataba huo yanathibitisha uwepo wa obwe kubwa la Mawasiliano katika taasisi kadha ndani na nje ya Serikali ya awamu ya Sita.Rais Samia Suluhu Hassan mara kadhaa amesisitiza kuwa Maofisa Habari wa Serikali watoke ",likizo" na kuanza kuisemea Serikali lakini wapi.

Nitashangaa kama hakutakuwa na mabadiliko ya haraka katika maeneo muhimu ya Mawasiliano ndani na nje ya Serikali.

Tulizidiwa sababu hatukuwa na watu strategic wa kucounter mashambulizi ya Wapotishaji walikuwa wamejipanga sana this time.

+255746826484.
Ndio maana Elimu inatakiwa
 
Nilipokutana na maneno eti Kitila Mkumbo ana akili kubwa nikaacha kuendelea kusoma.
 
Chama Cha Mapinduzi kina asili ya ukombozi wa mwafrika dhidi ya ukoloni uliopita na mamboleo.
Kwa hiyo, hoja za wanachama lazima ziwe na facts za kuendeleza hilo.
Kama kuna popote tumeteleza, lazima tujirekebishe, turudi kwenye reli na tusonge mbele.
 
Kwan WaTanzania walikataa uwekezaji wa DP WORLD 🌎..?! Au Wakalitaka mkataba urekebishwe..ingawa pia mchakato wa kumpata DPW haukueleweka kwa uwazi lakin pia mkataba una mashartin magumu kwa WaTanzania na hauna ukomo wa muekezaji kukaa kama tu uko Loliondo..! Ule mkataba angeuongelea Rais mwenyewe ili watu waone dhamira yake kwa nchi(Tanganyika). Alafu pia huwezi kumuita Warioba, Shivj na wengine wengi wa CCM kuwa ni wapinzani..
 
Kabla ya kuandika, umeyapitia makubaliano (aka mkataba)??
Je, kwanini DPW wahonge watu??
 
Mkuu, nina haya maswali yangu kama umeusoma mkataba naomba unijibu.

1./ Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

2./ Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

3./ Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

4./ Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

Ila wew kwa uandishi wako nina uhakika Sa100, Waziri na Katibu niwenzako kutoka Zenji. Kwa raia mwenye asili ya Tanganyika, na mwenye akili timamu hawezi kuwa mnafiki kwenye hili la Bandari.
Nianze na upotoshaji wako na 4./


Dhana ya kwamba bandari za Zanzibar hazimo haina pa kusimama kwa sababu kwa upande mmoja mhusika ni Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambayo inahusisha Tanzania bara na Tanzania Zanzibar kwa mjibu wa ibara 2 (1) ya katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977 toleo la 2005. Kwa upande mwingine hakuna kokote ambapo bandari zimebainishwa bayana zaidi ya kutajwa kwa ujumla kwa kusema zitakuwa ni bandari zilizoko katika maeneo ya bahari na maziwa ya Tanzania.
acha uongo
3./
Hakuna kokote imebainishwa nani anapata nini= IGA haina kipengere cha CONSIDERATION hivyo kwa mujibu wa Kifungu cha 2(1)(d) cha sheria ya mikataba
 
Suala la ubovu wa mkataba haliondolewi kwa CCM kujipanga vizuri kupiga propaganda watanzania muwe serious na nchi yenu!
By any standard pale hakuna mkataba FULL STOP. Yeyote anaye amini pale kuna mktaba is a dam fool
 
Nianze na upotoshaji wako na 4./


Dhana ya kwamba bandari za Zanzibar hazimo haina pa kusimama kwa sababu kwa upande mmoja mhusika ni Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambayo inahusisha Tanzania bara na Tanzania Zanzibar kwa mjibu wa ibara 2 (1) ya katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977 toleo la 2005. Kwa upande mwingine hakuna kokote ambapo bandari zimebainishwa bayana zaidi ya kutajwa kwa ujumla kwa kusema zitakuwa ni bandari zilizoko katika maeneo ya bahari na maziwa ya Tanzania.
acha uongo
3./
Hakuna kokote imebainishwa nani anapata nini= IGA haina kipengere cha CONSIDERATION hivyo kwa mujibu wa Kifungu cha 2(1)(d) cha sheria ya mikataba
Kama utapata mda, kasome tena vizuri., kisha jiulize nafsi yako, mim na wew nani mpotoshaji.
 
Back
Top Bottom