Katika Mchakato wa kutoa maoni juu ya katiba wachangiaji wengi wameonyesha kuelemea pande mbili kuu! Waislamu wanapendekeza katiba itakayo ruhusu OIC, Mahakama ya Kadhi na Hijabu huku wenzao wakristo wakipinga hoja hiyo ya waislamu!
Ajabu ni kuwa Waislamu wanapotoa maoni yao juu ya maslahi yao wenzao wakristo hawana cha kuchangia bali wanapinga hoja za dini zingine! haya ni mapungufu makubwa kwa upande huo wa pili na ni bora kama hawana cha kuchangia basi waache wenzao watoe mapendekezo yao!
Chanzo: Gazeti la ANNUUR | Mzalendo.net
Ajabu ni kuwa Waislamu wanapotoa maoni yao juu ya maslahi yao wenzao wakristo hawana cha kuchangia bali wanapinga hoja za dini zingine! haya ni mapungufu makubwa kwa upande huo wa pili na ni bora kama hawana cha kuchangia basi waache wenzao watoe mapendekezo yao!
Chanzo: Gazeti la ANNUUR | Mzalendo.net