lukelo sakafu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2015
- 2,938
- 517
Wakuu nina hoja fupi sana hapa, hivi kwa bara la Afrika ni nchi gani inamiliki jeshi hatari la ardhini lenye makomandoo hatari, silaha hatari, magari hatari ya kivita na ujuzi wa ajabu katika ground wars. Unafirikia itakua ni gani?
Karibuni
Karibuni