Nchi gani Afrika ina JESHI hatari la ardhini?

Nchi gani Afrika ina JESHI hatari la ardhini?

lukelo sakafu

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2015
Posts
2,938
Reaction score
517
Wakuu nina hoja fupi sana hapa, hivi kwa bara la Afrika ni nchi gani inamiliki jeshi hatari la ardhini lenye makomandoo hatari, silaha hatari, magari hatari ya kivita na ujuzi wa ajabu katika ground wars. Unafirikia itakua ni gani?

Karibuni
 
Wakuu nina hoja fupi sana hapa, hivi kwa bara la Afrika ni nchi gani inamiliki jeshi hatari la ardhini lenye makomandoo hatari, silaha hatari, magari hatari ya kivita na ujuzi wa ajabu katika ground wars. Unafirikia itakua ni gani?

Karibuni

Tanzania
 

hahahaha. acha utani wakati mwingine. kenya ameshindwa hata na mungiki, na al shabab wamemtoa kamasi. rwanda nchi nzima yenye wanajeshi zaidi ya 30,000 inawaogopa wanamgambo 3,000 alfu tatu tu wa FDLR hata kagame halali usingizi. utasema hizi nchi mbili kuna wanajeshi au kuna sungusungu/mgambo?
 
hahahaha. acha utani wakati mwingine. kenya ameshindwa hata na mungiki, na al shabab wamemtoa kamasi. rwanda nchi nzima yenye wanajeshi zaidi ya 30,000 inawaogopa wanamgambo 3,000 alfu tatu tu wa FDLR hata kagame halali usingizi. utasema hizi nchi mbili kuna wanajeshi au kuna sungusungu/mgambo?

Yaani acha kabisa!

RPF ni jeshi dogo sana lakini ni hataree kweli kweli, pamoja na udogo wao wameitawala DRC kwa miaka kadhaa, wamezitoa kamasi mi nchi mingi tuu inayoizunguka yenye jeshi kubwa mara 10 kuliko lao, yaani ni kama lilivyo jeshi la Israel vile, tehee tehee
 
Yaani acha kabisa!

RPF ni jeshi dogo sana lakini ni hataree kweli kweli, pamoja na udogo wao wameitawala DRC kwa miaka kadhaa, wamezitoa kamasi mi nchi mingi tuu inayoizunguka yenye jeshi kubwa mara 10 kuliko lao, yaani ni kama lilivyo jeshi la Israel vile, tehee tehee
muamba ngoma huvutia kwake.
 
Back
Top Bottom