ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,076
- 49,779
Licha ya Tanzania kuwa kati ya Nchi 10 zenye Pato kubwa la Taifa yaani GDP ambayo ni Dola Bilioni 75 ila haijasaidia kujiondoa kwenye kundi la Nchi ambazo raia wake ni maskini na mafukara.
Miongoni mwa sababu zinazotajwa ni Kasi kubwa ya ongezeko la watu ikilinganishwa na ujuaji wa uchumi hivyo kuwa na kundi kubwa la wategemezi badala ya wazalishaji.
My Take: Bila kuendelea kuvutia Uwekezaji Kwa Kasi zaidi, umaskini utaendelea kuwa chanda na Pete Kwa Watanzania.
Miongoni mwa sababu zinazotajwa ni Kasi kubwa ya ongezeko la watu ikilinganishwa na ujuaji wa uchumi hivyo kuwa na kundi kubwa la wategemezi badala ya wazalishaji.
My Take: Bila kuendelea kuvutia Uwekezaji Kwa Kasi zaidi, umaskini utaendelea kuwa chanda na Pete Kwa Watanzania.