Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,010
- 9,875
Mlipuko wa ugonjwa wa #COVID19 ulianza Desemba, 2019 mjini Wuhan China. Hadi hivi sasa ugonjwa huo umeenea kwenye nchi na mataifa 188
Vifo zaidi ya 470,795 vimeripotiwa kataika jumla ya maambukizi milioni 9.05 yaliyoripotiwa dunia nzima. Huku watu milioni 4.8 wakiripotiwa kupona
Hadi hivi sasa Taifa la Marekani linaongoza kwa kuwa na maambukizi mengi zaidi ikifuatiwa na Brazil
Vifo zaidi ya 470,795 vimeripotiwa kataika jumla ya maambukizi milioni 9.05 yaliyoripotiwa dunia nzima. Huku watu milioni 4.8 wakiripotiwa kupona
Hadi hivi sasa Taifa la Marekani linaongoza kwa kuwa na maambukizi mengi zaidi ikifuatiwa na Brazil