Nchemba ?

Utakua una matatizo ya akili mzee sio bure jamaa kila kukicha anashauri kodi ipande kwenye bidhaa magari yanapanda 100% harafu wewe unakuja na nyuzi zako za kutafuta vyeo.
Mama alipomteua huyo mwingine alimwambia chukua ushauri kwa mtangaulizi wako huyo Waziri wa fedha yupo bosheni tu hapo..
 
Ni kweli nakufa
Ungekuwa utani ningepost chit chat
"*£€Β₯|β€’`~Β£Β₯Ο€^{} yhwt.

HII NI AMRI YA KUKUONDOLEA KIFO CHA KANSA NA KANSA YAKO KWA UJUMLA.

Utakufa miaka mingi mbele kwa KIFO kingine na sio Cha KANSA. Huna haja ya kunishukuru, enjoy your life.
 
Nasikia chadema wamepewa, hivi sasa kamati kuu hawamataki Heche. Wewe hujapata?
Bado mnaamini watu wataamini uzushi kuhusu Heche
..Ccm iko upande mbaya wa historia.

..hakuna anayeweza kuinasua Ccm kutoka ktk udhalimu ilioufanya OCT 29.

..Biteko hawezi kuisafisha Ccm.
Ni kweli hawezi kuisafisha ila angeweza kuisaidia mahali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…