Lai Otieno
JF-Expert Member
- Aug 13, 2013
- 311
- 90
Mugulu Nchemba anajisumbuwa tu kuja Musoma Mjini hawezi kujaza uwanja wa Mkendo ushauri wangu kwake na viongozi wa ccm waende stendi ya Nyasho watapata aibu uwanja wa Mkendo anye uwezo wakujaza ni Mhe (MB) Vincent J Nyerere tu na Viongozi wa Chadema tu au ulize wazir mkuu Pinda pamoja na katibu wake Kinana.