Mbona mengine wanayo tuhumiwa hawakazanii ushahidi?
Huyu Mchemba ni misifa sana.
Aishie huko hawezi kushindana na Jembe Mnyika katika hoja
tumia akil yko vizuri unapoandika. mtu kusema uongo bungeni, kama ni muadilifu anafaa kujiuzulu. pale hatupeleki watoto ambao hata hawajui familia inaendeshwa vipi. kupayuka na kubwabwaja si mahala pake bungeni. ataendelea kuwa mbunge lkn wanaomuamin watapungua! hadhi yake itashuka. vile na wewe bado unalishwa hujui majukumu ni nini huwezi kuelewa maana ya hadhi katika jamii.
tumia akil yko vizuri unapoandika. mtu kusema uongo bungeni, kama ni muadilifu anafaa kujiuzulu. pale hatupeleki watoto ambao hata hawajui familia inaendeshwa vipi. kupayuka na kubwabwaja si mahala pake bungeni. ataendelea kuwa mbunge lkn wanaomuamin watapungua! hadhi yake itashuka. vile na wewe bado unalishwa hujui majukumu ni nini huwezi kuelewa maana ya hadhi katika jamii.
Kwa mtazamo wangu hapa ni MNYIKA AISHIKA PABAYA SERIKALI kwa maana fupi tu ni serikali na Nchemba kama wanabisha/anabisha hakuusika na kashfa ya EPA basi sisi kama wananchi tunahitaji kujua fedha zile ziliibwa na nani? zilipelekwa wapi na kwa matumizi gani? na kama zilirudishwa hao waliorudisha ni akina nani? na walichukuliwa hatua gani kwa wizi huo? pia na baada ya kurudishwa zilitumika wapi na zilirudishwa katika akaunti gani? kwa hili Nchemba anapokanusha basi awe na majibu mbadala ni akina nani waliiba kwa sababu alipoingia pale BOT alikuta ripoti na wakati fedha zinarudishwa alikuwepo, hii isiwe janja ya kuchezea akili zetu watanzania.Asubuhi hii saa 4 na dkk 10, mh nchemba ameomba muongozo wa naibu spika kuhusu maelezo ya uthibitisho wa yeye kuhusika na EPA. amezungumza huku akionesha hisia kali sana. kasema kuwa wakati wa kashfa ya EPA alikua hajaanza kufanya kazi B.O.T. kasema wapiga kura wake na familia yake imeguswa sana na tuhuma hizi. ameomba kujua maendeleo ya suala hilo kutoka kwa naibu spika. tundu lissu amejaribu kusema kuwa muongozo wa nchemba siyo sahihi lkn naibu spika akamuelimisha lissu kuwa muongoozo haujawekewa ukomo.
ndugai ameomba wabunge wawe makini na kauli zao. "mbunge huwezi kusema kuwa una ushahidi wa jambo fulani kisha ukiombwa ushahidi unapeleka habari za mtaani na ushahidi wa magazeti".
"mnyika alidai kuwa mh nchemba alihusika na EPA. mnyika ameleta ushahidi ambao ni maelezo mafupi. suala hili nalipeleka kwenye kamati ya maadili ya bunge, watapitia ushahidi wa mnyika kisha wote wataitwa kuhojiwa na kamati. matokeo ya kamati tutafahamishwa" alisema ndugai
kwa jinsi lissu alivyokua anababaika, inaelekea MNYIKA SUALA HILI LIMEMKALIA VIBAYA! yetu masikio. tunasubiri taarifa ya kamati.
UCHAMBUZI WANGU
ni dhahiri kuwa ccm wameshapitia ripoti ya mnyika na kuiona haina mashiko. kama ingekua na mashiko, nchemba angezuiwa toka jana na ccm kuzungumzia suala hilo. vile nchemba ameliibua tena leo hii, inaonesha ametumwa na chama chake. ama kweli nchemba amshika mnyika pabaya! mdomo jamani mdomo! mdomo jamani mdomo
Mkuu u mean FIFO aijazingatiwa hapa?
5. Kafulila vs wabunge watatu wa ccm, Zambi, Bedwel na... kuchukua rushwa kutoka halmashauri ya wilayaLazima kanuni na utaratibu huu ufuatwe FIRST COMES FIRST SERVED
Kabla ya USHAHIDI wa Mnyika lazima shahidi zilizotangulia tufahamishwe matokeo yake. Ndugai TENDA HAKI. Tunataka Matokeo ya SHAHIDI zifuatazo kwanza
1. Lema v. Pinda (kusema uongo)
2. Magdallena Sakaya v. DCs kuchukua Hongo
3. Zitto v. Baraza la mawaziri kurubuniwa
4. Mnyika v Nchemba kuhusika EPA.
Najua Ndugai huwa unapitia JF
Ccm wasipoangalia hili swala litafufua yaliyolala. Huwezi kumbatia nyuki.
Wakati mwingine mtaniona mbaya kwa kusema ukweli,ripoti ngapi za ushahidi wa wabunge wa CDM hausomwi wala kujadiliwa na kupewa majibu? uzembe ni wa wabunge wetu wa CDM pia! kwanini hawashinikizi ushahidi wao kufanyiwa kazi kama anavyokomaa Nchemba? Nafikiri spirit ya wabunge wa CDM imeshuka sana,hawawajibiki kama mwanzo walivyoingia bungeni.wanatakiwa wawe aggressive wasisikilize propaganda za CCM kuwapoza!
Asubuhi hii saa 4 na dkk 10, mh nchemba ameomba muongozo wa naibu spika kuhusu maelezo ya uthibitisho wa yeye kuhusika na EPA. amezungumza huku akionesha hisia kali sana. kasema kuwa wakati wa kashfa ya EPA alikua hajaanza kufanya kazi B.O.T. kasema wapiga kura wake na familia yake imeguswa sana na tuhuma hizi. ameomba kujua maendeleo ya suala hilo kutoka kwa naibu spika. tundu lissu amejaribu kusema kuwa muongozo wa nchemba siyo sahihi lkn naibu spika akamuelimisha lissu kuwa muongoozo haujawekewa ukomo.
ndugai ameomba wabunge wawe makini na kauli zao. "mbunge huwezi kusema kuwa una ushahidi wa jambo fulani kisha ukiombwa ushahidi unapeleka habari za mtaani na ushahidi wa magazeti".
"mnyika alidai kuwa mh nchemba alihusika na EPA. mnyika ameleta ushahidi ambao ni maelezo mafupi. suala hili nalipeleka kwenye kamati ya maadili ya bunge, watapitia ushahidi wa mnyika kisha wote wataitwa kuhojiwa na kamati. matokeo ya kamati tutafahamishwa" alisema ndugai
kwa jinsi lissu alivyokua anababaika, inaelekea MNYIKA SUALA HILI LIMEMKALIA VIBAYA! yetu masikio. tunasubiri taarifa ya kamati.
UCHAMBUZI WANGU
ni dhahiri kuwa ccm wameshapitia ripoti ya mnyika na kuiona haina mashiko. kama ingekua na mashiko, nchemba angezuiwa toka jana na ccm kuzungumzia suala hilo. vile nchemba ameliibua tena leo hii, inaonesha ametumwa na chama chake. ama kweli nchemba amshika mnyika pabaya! mdomo jamani mdomo! mdomo jamani mdomo