Business as usual!!
Sikutegemea hukumu nyingine zaidi ya hiyo!
Habari zilizotufikia sasa hivi ni kwamba Jaji Fatuma Massengi amekataa ombi la NCCR Mageuzi kutengua matokeo yaliyompa ushindi mbunge wa CCM Virajilal Jitu Son. Hii ndiyo hukumu ya kwanza kutolewa katika kesi za uchaguzi zilizofunguliwa na kusikilizwa hadi mwisho. Habari zaidi zitawajia hivi punde!
Mkuu asante kwa kutujuza. isipokuwa hapo kwenye red; nadhani siyo hukumu ya kwanza, kwani hivi karibuni hukumu ilitolewa kwa kesi ya kupinga matokeo ya mbunge wa jimbo la Ilemela, mkoani Mwanza ambapo mlalamikaji bwana DIALLO wa CCM alibwagwa katika hukumu hiyo.
Mahakama za ccm unategemea nini?
Mahakama za ccm unategemea nini?
Ni kweli, but it is sad kuwa uchaguzi haukutenguliwa. Sijui ni uzembewa Mawakili au ndo basi CCM hawashindwi kesi!
Mkuu asante kwa kutujuza. isipokuwa hapo kwenye red; nadhani siyo hukumu ya kwanza, kwani hivi karibuni hukumu ilitolewa kwa kesi ya kupinga matokeo ya mbunge wa jimbo la Ilemela, mkoani Mwanza ambapo mlalamikaji bwana DIALLO wa CCM alibwagwa katika hukumu hiyo.
Kesi yapili kunaile ya hiness ilemela mwanza ilipanguliwa na mkali lisu,hongera kwa habari tuliokua tukiisubiria
Habari zilizotufikia sasa hivi ni kwamba Jaji Fatuma Massengi amekataa ombi la NCCR Mageuzi kutengua matokeo yaliyompa ushindi mbunge wa CCM Virajilal Jitu Son. Hii ndiyo hukumu ya kwanza kutolewa katika kesi za uchaguzi zilizofunguliwa na kusikilizwa hadi mwisho. Habari zaidi zitawajia hivi punde!
kesi tunayoijua ni moja tu ya mpndazoe na yule mwizi mahanga......hii ndiyo yenye mashiko
Napinga dhana hiyo kuwa Mahakama ikikataa kutengua ushindi wa CCM basi directly mnaihusisha mahakama kuwa inawapendelea CCM!
Mbona kesi 2 za uchaguzi hadi sasa hukumu zake UPINZANI ULISHINDA;mahakama hiyo hiyo mnayoilamu nakuiita ya CCM ILITUPITILIA MBALI malalamiko ya wagombea wa CCM ktk majimbo ya ILEMELA NA KILWA;sikumsikia hapa JF tukisema kuwa MAHAKAMA INAPENDELEA UPINZANI!
Chadema-ILEMELA walithibitishiwa ushindi wao na mahakama hivi karibuni na CUF kule Lindi Mbunge wao Bwenge alithibitishwa na mahakama pia mwezi uliopita kwa kukataa hoja za CCM!
Tusiwe biased kiasi hiki jamani!