Mazindu Msambule
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 7,509
- 6,863
Niliacha kutumia huduma za NBC since 2006, sikuhizi ukiwa unataka kufungua A/C kwao lazima utafute wadhamini ambao ni wateja wao na some documents from the court, what is the hell is that!? Just an A/C hadi niende mahakamani? kwani nataka kuomba passport!? Kiukweli hua nachukia management ya makaburu popote ilipo!