Ozzie
JF-Expert Member
- Oct 9, 2007
- 3,217
- 1,259
Nimelink Debit Card yangu ya NBC na Paypal. Kawaida huwa nanunua vitu toka mitandao mbalimbali inayouza vitu online. Mara chache sana nimekuwa ninarudishiwa pesa kwenye card yangu ama kwa kuwa kitu kimeuzwa kimakosa au hakijafika nilipo.
Shida inaanzia pale NBC. Ukirudishiwa pesa kwenye card yako ati huenda kwenye pool, hivyo inatakiwa utoe evidence ya kurudishiwa halafu uandike barua ya ku claim kiasi unachodai au uandike email kwenda contact.centre@nbctz.com. Sijui huwa wanafungua hiyo email!!!! Kama mara nne pesa ninazo claim kila moja ilitumia zaidi ya Miezi mitatu kurudishwa kwenye account yangu. Yaani huu ni uhuni mkubwa. Usipodai ndio ishatoka hiyo.
Ukipiga hiyo namba yao 0768984000 ya contact centre unakatwa pesa tu halafu utaishia kuahidiwa kusaidiwa japo hakuna chochote watafanya. Hii mibenki mingine bwana; ndio maana kila siku inakimbikiwa na wateja.
Shida inaanzia pale NBC. Ukirudishiwa pesa kwenye card yako ati huenda kwenye pool, hivyo inatakiwa utoe evidence ya kurudishiwa halafu uandike barua ya ku claim kiasi unachodai au uandike email kwenda contact.centre@nbctz.com. Sijui huwa wanafungua hiyo email!!!! Kama mara nne pesa ninazo claim kila moja ilitumia zaidi ya Miezi mitatu kurudishwa kwenye account yangu. Yaani huu ni uhuni mkubwa. Usipodai ndio ishatoka hiyo.
Ukipiga hiyo namba yao 0768984000 ya contact centre unakatwa pesa tu halafu utaishia kuahidiwa kusaidiwa japo hakuna chochote watafanya. Hii mibenki mingine bwana; ndio maana kila siku inakimbikiwa na wateja.