NBC bank sucks



Mkuu wache nikujuze-Kwa elimu yangu ya Kata hainipi nafasi ni tiririke ung'eng'e kama ulivyoshusha mistari.
Swali moja je-wewe mtanzania?-Kama jibu ni ndiyo twende taratibu kidogo na utakuja kugundua malalamiko yako ndani ya hiki.




Baada ya kuona hilo ni vizuri twende mbele kidogo tena.



Hitimisho na kabla ya hapo nampa hongera Mhe. Zitto nimemsikia Clouds FM leo kuwa PAC imeomba CAG alipitie jambo hili pamoja na mambo mengine nini hasa kilitokea kwa Uuzwaji wa NBC wakati huo na hali yake sasa.
Hivyo basi suala la huduma mbovu kwa sasa linalengo mahususi la kukimbisa wateja ili lengo la ABSA Group ya South Africa litimie hapo March 2015- na kama Bunge halitachukua hatua mapema-dili la kumalizia Benki hii kwa makaburi linafikia Kikomo kabla JK hajaondoka Madarakani na kiufupi EPA nyingine ya kuwawezesha CCM kwa Uchaguzi wa 2015.

Muda utatupa jibu.
 
Last edited by a moderator:
Ukitaka better customer care weka benki kuanzia 100m na kuendelea. Ila hizi hela za pipi hizi kila siku unataka wakupigie simu Nyani Ngabu?
Ha ha ha ha ha ha ha
Tafuta mtonyo Escrow upate walau hata 100m na we ukaitafute benki ndogo kama Akiba Commercial uanze nao mdogo mdogo utaona jinsi wanavyokutwangia simu kila wiki.
Tehe tehe teh e
 
Last edited by a moderator:

mkuu kwa issue yako ni sahii...KUNA KITU KINAITWA K.Y.C[KNOW YOUR CUSTOMER] hi imewekwa na B.O.T...INROMATION yoyote unayotaka kubadilisha benk lazima iwe formal na documented for feature reference,uwezi kubadilisha information kama unabadilisha boga tena kwenye chombo cha hela.wataamini vipi labda we nitapeli au mpigaji
 

Mkuu, ningekuelewa iwapo jina la usajili la mteja wa benki ni tofauti na lile ambalo linaonekana katika usajili wa simu. Lakini iwapo kila kiltu ji sawa ya nini usumbufu huu?
Pili, kama utaratibu umebadilishwa kwanini kwanini wasiwe na fomu tayari ambazo zimekwisha gongwa/zimewekewa muhuri na wateja kujaza tu(as long as majina yote ni sahihi)?

Tatu, kama ndivyo hivyo huoni haina umaana kwa sababu nikifika kupata huduma hiyo nitahitaji kuwa na namba ya siri ya zamani, ambayo nitaiweka ili kuweka namba mpya, na namba hii nitaijua tu kama nilikuwa natumia ATM or service yao?.

Hapa naongelea suala la ku-update/maintain my account info!

Tukiongelea hapo tutakuja hata kwenye suala la makazi, ni watumishi wangapi wa umma karibu kila baada ya miaka mitatu wengine huhamishwa vituo, na unakuta hata kama si frequent as miezi mitatu, unakuta mf alikuwa anakaa kimara sasa hivi yuko yombo, lakini baada ya muda kaenda mbezi beach, simply because physical address inabadilika na mteja huyu unadhani naye aende kwa mwanasheria kuthibitidha hilo? Au ni usumbufu tu kwa wateja?

Mwisho: Kwanini utaratibu hu uwe kwa benki hii tu? Halafu mbona pamoja na utaratibu huo MBOVU bado sijapata huduma niliyoihitaji? Zaidi nimepata ujumbe tu toka NBC eti "fedha zangu ziko salama"..did i ask for that? Nilichohitaji sijafanikiwa bado halafu mnanipa taarifa ya vitu nisivyovihitaji!
 

If that's the attitude no wonder why it's going to the dogs!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…