NBC ATM yenu airport mbovu

NBC ATM yenu airport mbovu

illegal migrant

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2013
Posts
1,277
Reaction score
1,121
Dah kuna wakati mwingine unashangaa ni kama watu wamechoka biashara au nini, nimechomeka kadi hapa kwenye ATM ya NBC imenitolea risiti ambayo inaonyesha hela imekatwa ila kiuhalisia sijapata hela nimekaa hapa ili nisubiri, bado naendelea kusubiri ili pengine zisitoke akachukua mtu mwingine.

Nitalala hapa hapa hela ngumu mnatia aibu na limashine lenu limechakaa hapa uwanja wa Ndege terminal 2 nikipata au niki kosa hela asubuhi naamkia mahakamani..mwanasheria aliyenielewa ana pm
 
Mara nyingi ukikatwa hela ivyo unarudishiwa
 
Nbc tawi lenu la pale Ubungo limekuwa chakavu sana na pale Iringa, yamekuwa machakavu sanaaa,utafikiri sio benk,hata ofisi za saccos zinawazidi
 
Back
Top Bottom