MarianaTrench
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 1,212
- 942
Wapendwa poleni na mihangaiko ya kila siku katika kulijenga taifa. Mimi nimekuwa na uhusiano na kijana mmoja mtanashati msomi kwa muda wa miaka miwili sasa. Hatujawahi onana tunawasiliana kwenye mtandao/simu. Lakini mpendwa amebadilika mapenzi yake sio kama zamani, nikimpigia simu hapokei na akipokea ni kama hajisikii , usiku yuko busy mpaka saa sita akipokea anachomeka neti alale. Kwangu ni wa kwanza ila alishakuwa na mahusiano na watu kama wawili kabla yangu. Nikiwaza kumwacha naumia, nifanyeje? Na ansema bado annifeel,
Mimi.
Sengerema(nakuruhusu kucheka mdau)
Mimi.
Sengerema(nakuruhusu kucheka mdau)