Nay wa Mitego: Hakuna show siku hizi, wanaofanya wanalipwa kidogo sana na hali itakuwa mbaya zaidi

Nucky Thompson

JF-Expert Member
Sep 20, 2016
1,817
4,061
Msanii Ney wa Mitego amefunguka mambo mbalimbali kuhusu muziki wake



Ikiwa ni pamoja na bifu lake na Mr T, Gigi Money, ishu ya kumbaka Nisha na Kolabo
Pia amezungumzia soko la muziki lilivyo sasa hivi na akilinganisha na mwaka jana anadai show zimekuwa chache mno na hata wanaofanya show wanalipwa kidogo sana kwa kuwa mapromota wanadai haziwalipi
Amesema hali inatarajia kuwa mbaya zaidi mbele kwa kuwa hela zinabanwa ila amedai hategemei show kwa kuwa ameshawekeza
 
Ila naona kama yuko sahihi,kupiga shoo za kuitwa na mapromota kwa TZ kwa sasa wanalipwa pesa ndogo sana hasa kwa hawa wasanii wadogo.
 
Msanii Ney wa Mitego amefunguka mambo mbalimbali kuhusu muziki wake



Ikiwa ni pamoja na bifu lake na Mr T, Gigi Money, ishu ya kumbaka Nisha na Kolabo
Pia amezungumzia soko la muziki lilivyo sasa hivi na akilinganisha na mwaka jana anadai show zimekuwa chache mno na hata wanaofanya show wanalipwa kidogo sana kwa kuwa mapromota wanadai haziwalipi
Amesema hali inatarajia kuwa mbaya zaidi mbele kwa kuwa hela zinabanwa ila amedai hategemei show kwa kuwa ameshawekeza

Wasichague kazi, hata birthday wakapige tu!
 
Tumeona wengine, wakigoma kuingia kwenye, stage dodoma kisa, hawajalipwa sh milionn mbili. Kiba kaweka fora mwisho mashabiki wakataka kumpiga

Ni wasanii tu waliosimama na wenye msimamo watakao simama
Msanii kama darasa anapiga shoo kwa sh milion4 unafikiria nini hapo wakati yupo kwenye chati je akichoka atapiga kwa bei gani?
 
Tumeona wengine, wakigoma kuingia kwenye, stage dodoma kisa, hawajalipwa sh milionn mbili. Kiba kaweka fora mwisho mashabiki wakataka kumpiga

Ni wasanii tu waliosimama na wenye msimamo watakao simama
Msanii kama darasa anapiga shoo kwa sh milion4 unafikiria nini hapo wakati yupo kwenye chati je akichoka atapiga kwa bei gani?
what kiba!!! ngoja waje!
 
Naona siku hizi anukii waridi..alipokuwa karibu na diamond alikuwa safi sana..naona now kapoteana
 
Ney mambo yanamuendea kombo, soon tutasikia ameanza kula ngada, muziki wa ujanjaujanja mwisho wake mbaya
 
Ki ukweli hali ya sasa ya maisha ni ngumu. Kila sehemu kumeporomoka na kila mtu anamsingizia magu.
 
Back
Top Bottom