Nawezaje Kuwashitaki Jumia?

Nawezaje Kuwashitaki Jumia?

Kwa nini uwashtaki wakati hujalipia? Point ni kwamba wameghairi kukuuzia basi
 
Hii kitu inankumbusha business law asee..
Hapa kama sijakosea ni offer and invitation,seller akighairi kukuuzia thou mmefikiana bei kwa reasons valid bhas mtoa mada hii kesi haina mashiko mkuu.
Km sijakosea ref. Kesi ya Harvey Vs facie mkuu.
nakumbushia tu ukariri wangu wa chuoni Enzi zetu.
 
Jing.a mmoja wewe.. Soma Mada uelewe... Ebooo..
Nani kakwambia nimeshindwa kulipia hiyo elfu 79??
Ulilipa sasa, unatuletea ujinga wako wa fikra hapa. Wewe mwenyewe ulijua wamekosea ile price pale, sasa baada ya kutake advantage unaanza tena kutuma sijui nini tena, ebu acha kutuletea thread za kitoto. Pekeka fb huko wakusaidie mawazo.
 
Ulilipa sasa, unatuletea ujinga wako wa fikra hapa. Wewe mwenyewe ulijua wamekosea ile price pale, sasa baada ya kutake advantage unaanza tena kutuma sijui nini tena, ebu acha kutuletea thread za kitoto. Pekeka fb huko wakusaidie mawazo.
Mkuu, sijawahi kupata ban, so usinitafutie.. hivi unajua walitoa njia gani za malipo?

Lala ukue kidogo.. Jing.a mmoja....
 
Ulilipa sasa, unatuletea ujinga wako wa fikra hapa. Wewe mwenyewe ulijua wamekosea ile price pale, sasa baada ya kutake advantage unaanza tena kutuma sijui nini tena, ebu acha kutuletea thread za kitoto. Pekeka fb huko wakusaidie mawazo.
Soma tena nilichoandika, kama hautaelewa, basi nitalazimika kukuandalia notes ili uwe unajisomea kwa muda wako wa ziada..
 
Mkuu, sijawahi kupata ban, so usinitafutie.. hivi unajua walitoa njia gani za malipo?

Lala ukue kidogo.. Jing.a mmoja....
Hizo njia ni kwa nyie wenye hela za mawazo. Ingekuwa mimi ningetumia njia ya haraka zaidi. Ondoa ujinga wako.
 
Hizo njia ni kwa nyie wenye hela za mawazo. Ingekuwa mimi ningetumia njia ya haraka zaidi. Ondoa ujinga wako.
Njia gani ya haraka? Hovyoo... Kwanza nahisi hata kufanya manunuzi huko Jumia hujawahi..
 
Njia gani ya haraka? Hovyoo... Kwanza nahisi hata kufanya manunuzi huko Jumia hujawahi..
Mimi sio maskini kama wewe, unataka Sale ndio ununue? Wenzako tunakwenda moja kwa moja kwenye mall na kununua. Wewe leo hii unaangaika na home theater bado hujaanza hata kuishi, una umri wa kuzaliwa tu.
 
Mimi sio maskini kama wewe, unataka Sale ndio ununue? Wenzako tunakwenda moja kwa moja kwenye mall na kununua. Wewe leo hii unaangaika na home theater bado hujaanza hata kuishi, una umri wa kuzaliwa tu.
Okay.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom