Kaudunde Kautwange
JF-Expert Member
- Nov 15, 2011
- 1,686
- 1,758
Habari za wakati huu!!
Jana ilikuwa ni Black Friday, na vitu vilikuwa vinauzwa kwa bei ya punguzo.
Nilipata mda wa kuperuzi kwenye Jumia online market, na bahati nzuri nikakuta kuna bidhaa imenivutia, tena nahisi walii misprice, so nikatumia fursa hiyo kununua...
Baada ya kununua, wakanitumia ujumbe huu:
Wakitaka ni confirm, na mimi niliwajibu hivi:
Baada ya hapo wakanitumia jumbe hizi:
Na wakanipigia na simu kunijuza what next, na walisema mzigo ntaupata ndani ya siku 3.
Sasa leo wamenitumia email hii:
Na hakuna discussion yoyote ambayo waliifanya na mimi.
Je, kwa kuvunja mkataba wa manunuzi ya bidhaa, kwa namna ambavyo nimeonesha hapo juu, siwezi kuwadai bidhaa yangu?
Au kuna taratibu gani za kisheria ili nipate mzigo wangu?
Ahsante.
Jana ilikuwa ni Black Friday, na vitu vilikuwa vinauzwa kwa bei ya punguzo.
Nilipata mda wa kuperuzi kwenye Jumia online market, na bahati nzuri nikakuta kuna bidhaa imenivutia, tena nahisi walii misprice, so nikatumia fursa hiyo kununua...
Baada ya kununua, wakanitumia ujumbe huu:
Wakitaka ni confirm, na mimi niliwajibu hivi:
Baada ya hapo wakanitumia jumbe hizi:
Na wakanipigia na simu kunijuza what next, na walisema mzigo ntaupata ndani ya siku 3.
Sasa leo wamenitumia email hii:
Na hakuna discussion yoyote ambayo waliifanya na mimi.
Je, kwa kuvunja mkataba wa manunuzi ya bidhaa, kwa namna ambavyo nimeonesha hapo juu, siwezi kuwadai bidhaa yangu?
Au kuna taratibu gani za kisheria ili nipate mzigo wangu?
Ahsante.