josefast
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 372
- 134
Habarini wadau....
Crdb Fahari Huduma ni aina mpya ya uwakala wa kibenk ambapo kwa hivi sasa mteja wa Crdb anaweza kupata huduma za kutoa, kusajiliwa na kuweka pesa kwa wakala bila kufika benki.
Bila shaka baadhi yenu mmelisikia tangazo lao either kupitia Radio 1 or RFA radio etc.
Kwa mwenye uzoefu hebu tudokezane namna ambavyo wakala anavyoweza kupata faida kupitia huduma hyo na changamoto zake.
Crdb Fahari Huduma ni aina mpya ya uwakala wa kibenk ambapo kwa hivi sasa mteja wa Crdb anaweza kupata huduma za kutoa, kusajiliwa na kuweka pesa kwa wakala bila kufika benki.
Bila shaka baadhi yenu mmelisikia tangazo lao either kupitia Radio 1 or RFA radio etc.
Kwa mwenye uzoefu hebu tudokezane namna ambavyo wakala anavyoweza kupata faida kupitia huduma hyo na changamoto zake.
Habari zenu wakuu,
katika pitapita zangu nimeona mabango ya wakala wa NMB najua humu kuna watu wengi wanaweza nijuza je, vitu gani vinatakiwa ili niwe wakala wa NMB? Je ni mtaji kiasi gani au vigezo vipi kuna maeneo mengi potential kuweka hii biashara.
Natanguliza shukrani
Habari wanajamvi, kwa wanaofahamu, eti ni vigezo gani vinahitajika ila kuwa wakala wa benk hususani nilizozitaja hapo juu,
1) inatakiwa uwe na mtaji kiasi gani kwa benki ya crdb na nmb ili uwe wakala wao (ufanye baadhi ya malipo au deposit kwa niaba yao)?
2) Wanatoa commission kiasi gani?