Aigle
JF-Expert Member
- Jul 4, 2020
- 778
- 6,298
Wasalaam, naomba kuuliza endapo mimi ni raia wa nchi nyingine, lakini kutokana na mapenzi yangu kwa nchi ya Tanzania na watu wake, nikatamani au kutaka kua raia wa tanzania na kuridhia kuukana uraia wa nchi nilimotoka.
Je, ni hatua zipi yapaswa nifanye kuweza kukamilisha hilo? Ni njia ipi rahisi ambayo itaniwezesha kuupata uraia mapema pengine bila kusubiri au kuishi miaka mitano. Inashangaza kusikia ama kuona kuna Watanzania hawaipendi nchi yao wanakuambia bora wakawe mbwa ulaya, na ilihali kuna wengine nchi zingine wanatamani kua raia wa tanzania, wanaipenda tanzania, wanatamani kuishi tanzania, wanapenda lifestyle ya watanzania, wanapenda wadada / wakaka wa kitanzania, wanatamani kuoa/kuolewa na mtanzania.
Anyway, msaada wa swali hapo juu.
Je, ni hatua zipi yapaswa nifanye kuweza kukamilisha hilo? Ni njia ipi rahisi ambayo itaniwezesha kuupata uraia mapema pengine bila kusubiri au kuishi miaka mitano. Inashangaza kusikia ama kuona kuna Watanzania hawaipendi nchi yao wanakuambia bora wakawe mbwa ulaya, na ilihali kuna wengine nchi zingine wanatamani kua raia wa tanzania, wanaipenda tanzania, wanatamani kuishi tanzania, wanapenda lifestyle ya watanzania, wanapenda wadada / wakaka wa kitanzania, wanatamani kuoa/kuolewa na mtanzania.
Anyway, msaada wa swali hapo juu.