Sifia tu viongozi walioko madarakani, hata mfalme akikaa uchi ww mpigie tu makofi. Haikugharimu chochote kuw mzalendoKama title inajieleza ni vipi naweza kuwa mzalendo wa nchi yangu?
Naombeni msaada
Nikiwa msingi tuliimbaSifia tu viongozi walioko madarakani, hata mfalme akikaa uchi ww mpigie tu makofi. Haikugharimu chochote kuw mzalendo
Uzalendo ni jambo, kitu, imani au hitikadi.Kama title inajieleza ni vipi naweza kuwa mzalendo wa nchi yangu?
Naombeni msaada
Kama title inajieleza ni vipi naweza kuwa mzalendo wa nchi yangu?
Naombeni msaada
Hahah, wazalendo wakikusikia utajua povu lao liko rangi ganiNinachojua ' Wazalendo ' wa kweli nchini Tanzania waliishia rasmi tarehe 14, October 1999 na tuliobaki wote ni ' Uozoulendo ' watupu.
Wazalendo wapo wengi sana, had wana gazeti lao linahusu uzalendo. Uzuri wa nchi yangu nikwamba wazalendo wapo chama kimoja tu, wengne wote ni wasalitiNikiwa msingi tuliimba
Idd Amin akifa
Mimi siwezi kulia
Nitamtupa Kagera
Awe chakula ya mamba
je uzalendo wa aina hii uliisha baada ya Idd Amin kufa??
ipende nchi yako ilinde amani ya nchi yako fanya mambo kwa manufaa ya nchi yako chukia wasaliti walionunuliwa kuivuruga nchi yako piga vita rushwa na ufisadiKama title inajieleza ni vipi naweza kuwa mzalendo wa nchi yangu?
Naombeni msaada