NAWEZAJE KUTUMIA WHATSAPP KWENYE PC?

NAWEZAJE KUTUMIA WHATSAPP KWENYE PC?

Ngoja ni jaribu hii mambo kwa kuji trace mwenyewe na line yangu nyingine
Haitrack lain ila inatrack simu, hivyo laini yoyote itakayowekwa ndani ya hiyo simu na calls yoyote itakayopigwa ndivyo vitakavyokuwa tracked
 
Imegoma inaniambia Sina number iliyo kuwa connected na account yangu
Ni lazima usajili simu kwa kufungua account. Nenda google download file linaloitwa mftv2 kisha instal ndani ya simu fata maelekezo ni kitu cha dakika 5 ukiwa na net nzuri
 
Imegoma inaniambia Sina number iliyo kuwa connected na account yangu
1.Inabidi uisajili simu sio line, tengeneza email address ambayo itakuwa kama account yako katika hio website.

2.Download kiji setup cha hio app kitakuja kwa jina la MTFV2.apk

3.Kisha uta install hio apk ya MTFV2 katika simu lengwa ambayo unataka kuziona taarifa zake.

4.Utatumbukiza ile email uliotengeneza katika hatua no.1, ili ku login na hii ndio itaunganisha simu yako na ile website.(Ukifanikisha hatua hii utaweza kuona jina na model ya simu yako)

5.Utarudi kwenye website ku login na safari hii utakuta simu yako imeshakuwa connected.Kutakuwa na kitu kinaitwa dashboard ambacho ndio kitakuwa kimebeba taarifa zote za simu ulioiunganisha.
 
Back
Top Bottom