- Thread starter
- #41
Ila kweli... Utamu wa ngoma..
Ingia ucheze...
Ila kweli... Utamu wa ngoma..
true mkuu nimeshindwa hata kuwaambia washkaji nimekausha nimeshirikisha baadhi ya ndugu wenye vifua vya kiume na wazaziKumtosa mama watoto siyo kitu rahisi kivile i see. Kuta zinaficha mengi kiongozi.
nimeshasamehe mkuu 7bu nimempa taraka 1 aende kwao nitulize kichwaa kwanza
facebook mbaya sana walianza kutakana huko fb kwa mujibu wa kufunguka kwake alikuwa amezoea kwenda kwenye kibanda chake kukodi cd kinakujaga home kinadai kinafata CD eti waifu kachelewesha eti anadai walifanya mara mbili tu mamaae zake na hasira sanaa
bahati nzuri sijalifanya public maana mtaani ningeaibika dogo ajui km nimemshtukia yaan hata sijui nimpe adhabu ningekuwa enzi zangu kabla sijatundika daluga sasa hivi tungeongea mengne we acha tu kugongewa mkee inauma sana
nimeshasamehe mkuu 7bu nimempa taraka 1 aende kwao nitulize kichwaa kwanza
facebook mbaya sana walianza kutakana huko fb kwa mujibu wa kufunguka kwake alikuwa amezoea kwenda kwenye kibanda chake kukodi cd kinakujaga home kinadai kinafata CD eti waifu kachelewesha eti anadai walifanya mara mbili tu mamaae zake na hasira sanaa
bahati nzuri sijalifanya public maana mtaani ningeaibika dogo ajui km nimemshtukia yaan hata sijui nimpe adhabu ningekuwa enzi zangu kabla sijatundika daluga sasa hivi tungeongea mengne we acha tu kugongewa mkee inauma sana
Pole sana mkuu, mie pia natumia app nyengine inaitwa mobile tracker free kumtrack shemeji yako ila so far sijaona mwenendo mmbaya mpaka sasa.
Wewe sasa ndiyo unataka watu wa-loose temper. Ha ha haaa...
Karibu tuendeleze mada. Tunajadili kila kilichopo mbele...
Utakufa kaka acha huo mchezo, ni hatari kwa afya ya mahusiano.
hongera mkuu ila utakuja kugundua kwa mtu usiemtegemea hapo ndo presha itapanda kilichonipa presha ni kuwa huyo dogo afadhari angejua nwingne usiemjuaPole sana mkuu, mie pia natumia app nyengine inaitwa mobile tracker free kumtrack shemeji yako ila so far sijaona mwenendo mmbaya mpaka sasa.
haya ndugu naona hayajakukutaHa ha haaa!!!! Ya kweli haya au furahisha genge?
Kama kweli basi usiendelee maana utakuja kumuanika shemela.
Labda kajamaa ka banda la video kanapita humu.
Hahahah wacha nife tu maana nipo distant kwa sasa na kama unavyojua wenzetu huwa hamchelewi!
hongera mkuu ila utakuja kugundua kwa mtu usiemtegemea hapo ndo presha itapanda kilichonipa presha ni kuwa huyo dogo afadhari angejua nwingne usiemjua
alikuwa ba tabia kitaa mtu akimtongoza ananiambia yaan niliacces kiutani kwa majaribio kama simu ikiwa mbari itakubari
haya ndugu naona hayajakukuta
ila kiuhasilia nina heshima mtaan kutokana na nafasi yangu katika dini
n huyo dogo kapuku tu hawezi fika pande hizi na nimetumia lugha ya kificho hawezi kuelewa hata km akipita huku
Mwisho utakuwa kumpiga chini tu akikiuka masharti ya mkataba wetuExperience is the best teacher and time is a healer, endelea mpaka ujue mwisho wake. ha ha haaa!!!!
Mwisho utakuwa kumpiga chini tu akikiuka masharti ya mkataba wetu
Uchumba kwanza ndoa baadae kidogo, she is promising so asipozingua anaweza kula green cardNdoa uchumba?
Ipoje [emoji23] [emoji23] [emoji23]Pole sana mkuu, mie pia natumia app nyengine inaitwa mobile tracker free kumtrack shemeji yako ila so far sijaona mwenendo mmbaya mpaka sasa.
Duh bro pole na yalo kukuta wala usijilaumu kabisa mimi naona hio alama ya M/mungu anakuepusha na mengi tu. moja wapo maradhi na kupewa mtoto asie wako na kudhani wako.nimeshasamehe mkuu 7bu nimempa taraka 1 aende kwao nitulize kichwaa kwanza
facebook mbaya sana walianza kutakana huko fb kwa mujibu wa kufunguka kwake alikuwa amezoea kwenda kwenye kibanda chake kukodi cd kinakujaga home kinadai kinafata CD eti waifu kachelewesha eti anadai walifanya mara mbili tu mamaae zake na hasira sanaa
bahati nzuri sijalifanya public maana mtaani ningeaibika dogo ajui km nimemshtukia yaan hata sijui nimpe adhabu ningekuwa enzi zangu kabla sijatundika daluga sasa hivi tungeongea mengne we acha tu kugongewa mkee inauma sana
Hahahahaha kumbe wadau wa surveillance tupo wengi, ngoja nikutupie link mkuu utaicheki hapa hivi:Ipoje [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ngoja ni jaribu hii mambo kwa kuji trace mwenyewe na line yangu nyingineHahahahaha kumbe wadau wa surveillance tupo wengi, ngoja nikutupie link mkuu utaicheki hapa hivi:
Mobile Tracker Free | Cell Phone Tracker App | Monitoring App for Android Smartphone
Hii kitu inafanya kazi n noma inaleta hadi sms za tigo nishawahi jaribuNgoja ni jaribu hii mambo kwa kuji trace mwenyewe na line yangu nyingine