- Thread starter
- #21
We hujatuliza kichwa mkuu, lazma ujifunze kupokea mawazo tofauti na uliyonayo kichwani. Mi nmeongea kwa fact na sio mazoea kama ulivyofikiri, So far unaonesha una temper sana, jitahidi kucontrol hio hali mkuu!
Wasi wasi wako mkuu, mbona jamaa yuko "poa" tu?