Nawezaje kurudisha system apps katika simu ya Huawei?

Nawezaje kurudisha system apps katika simu ya Huawei?

walalahoy

Member
Joined
Jul 10, 2015
Posts
14
Reaction score
4
hellow wana jamvi naomba mwenye uelewa jinsi ya kurudisha system apps zilizo futwa katka sim aina ya huawei.....nimerajiru ku fanya restore default lakini hiki ndo naletewa na haiendelei kufanya chochote... msaada tafadhali
images
 
Huwa hazifutiki hata ukireset wewe umefutaje?
 
hellow wana jamvi naomba mwenye uelewa jinsi ya kurudisha system apps zilizo futwa katka sim aina ya huawei.....nimerajiru ku fanya restore default lakini hiki ndo naletewa na haiendelei kufanya chochote... msaada tafadhali
images
I-flash
 
hellow wana jamvi naomba mwenye uelewa jinsi ya kurudisha system apps zilizo futwa katka sim aina ya huawei.....nimerajiru ku fanya restore default lakini hiki ndo naletewa na haiendelei kufanya chochote... msaada tafadhali
images
inaonekana uliroot simu yako ukapata access ya kuremove bloatware(system apps ) hata mimi liliwahi kunikuta sasa chakufanya ni kutafuta custom rom na kuiflash
 
Utakuwa uliroot sim/ama kuna mtu aliroot bila ww kujua kuwa makin mana hata version mpya huwez kuiweka simu itabuma moja kwa moja
 
nlifuta kupitia app moja nlitoa playstore inaruhusu kufuta system apps ila mara mwisho nkafuta mbaka zisizo futwa
imaitwaje hiyo app nataka nikwangue baadhi ya apps humu
 
Back
Top Bottom