Kuna uongo mwingi, tagawizi imezidi sanaaIna maana uzi wa tangu saa sita hauna mchangiaji?
Amegundua wewe ndio mwanamke sahihi kwake ila kuna hayo mliyopitia pamoja huko nyuma.. Sasa mkishaingia kwenye ndoa na kuzoeana siku ukitokea ugomvi mdogo tu makaburi yote yatafukuliwa!Miaka michache nyuma nikiwa na Miaka 23 ndio nimetoka kumaliza degree yangu katika chuo kikuu cha mzumbe kwa bahati mbaya nilijiingiza kwenye upuuzi ambao mpk Leo naujutia
Nimetumia ID mpya ili nisijulikane
Nikiwa na huo umri ndio kwa mara ya kwanza nilikutana na mwanaume yaani mpk namaliza chuo sikuwai kushiriki sex nilijitunza sana nikitamani nami niingie kwenye ndoa nikiwa bikira.. sio kwamba siku na mahusiano nilikuwa nayo ila yalikuwa yale ya no sex till marriage
Niseme tu bahatii mbaya nilikutana na Kijana ambae alikuwa ametoka kuajiliwa ana miezi kama miwili tangu apate ajira nikajikuta nimeanzisha nae mahusiano ghafla sijui ni nini kilitokea ila nilijikuta nimempenda ghafla sana.. ndani ya wiki moja akaniita geto kwake ambalo alikuwa analitumia weekend maana alikuwa anakaa kambini…
Kwa mara ya kwanza nikashiriki nae sex na siku hiyohiyo mimba ikaingia kitu ambacho sikukitarajia maana nilikuwa siku salama I mean nilibakiza siku 3 niingie hedhi… ukweli nilichanganyikiwa sana sio kidogo nikiangalia sina kazi nakaa kwetu nyumbani kwenyewe kula mtihani ubaya zaidii huyu Kama simfahamu nimekutana nae wiki moja tu kiufupi ilikuwa Kama pigo kwangu..cha ajabu zaidi kijana tupo age moja na nilipomwambia tu Nina mimba alianza kunipa da kitu ambacho kilifanya nimchukie nikiamini kuwa ameniharibia maisha yangu.. kilichoniudhi zaidii yule kaka alienda kuwaambia ndugu zake wote Mimi nina ujauzito wake, nikawa sina namna ikabidi nimshirikishe ndugu yangu aisee kitu cha kwanza aliniambia niitoe kijana nae akawa haelewekii leo anasema nitoe kesho anasema nisitoe yeye atalea.. kimbembe kikaja kwa ndugu zake wakawa wanamwambia kuwa inawezekana mimba siyo yake nimemsingizia kwasababu nimeona ana kazi ikafikia hatua ndugu zake wananiambia niitoe maana naweza kutelekezwa mara waseme namdangia ndugu yao kitu ambacho kiliniuma sana
Nikawa sina msaada wowote zaidii ya mwanaume alikubali kulea mimba ile akawa anahudumia akafungua account benk kiufupi alikuwa anaonesha nia japo pesa zake ni ukiomba utasubirishwaa sanaa yaani kila siku ni ahadi.. nyumbani wote waligomaa hawataki kusikia kuhusu mimi hapo tayari mimba ina week 3 nikawa sasa nimechanganyikiwa nikiwaza mtu ninaezaa nae muda wowote atanigeukaa jamii nayo itanionajee yaani kelele zikawa nyingi mwishoni nikaona bora nisikilize wengi nikaamua kufanya abortion ikiwa na wiki 3 sikumwambia yule Kijana mpk ilipofika miezi 2 ndio nilimwambia imetoka sikusema Kama niliitoa tuligombana sana akanitukana sana akisema nimeitoa.. nikashikilia msimamo wangu kuwa sijaitoa imetoka basi yule kijana akaniambia Kama kweli hivyo anataka tena anipe mimba nyingine maana yeye alishawaambia ndugu zake.. Mimi nikawa nazungusha tu,, tuligombana kila siku na yeye ndio alikuwa mkorofi nikaona atakuja kuniua nikamwambia tuachane alikuwa king’ang’anizi kiasi kwamba akaanza kunitukana nilichofanya nikabadili namba
Sasa kilichonileta hapa ni kuwa amerudi tena anahitaji tuwe wote ila Sharti analonipa ili aniamini anahitaji tuzae wote tena na tukaishi pamoja.. nilichomjibu ni kuwa haiwezekani akitaka tuoane ndio tuzae ila kwa kazi yake muda wa kuoa bado haujafika… Sasa amekuwa akinisumbua sana turudiane ila mimi naogopa asije kuwa anataka kulipa kisasi… tangu tuachane ni Miaka imepita na Mimi sijawah tena kujiingiza na mahusiano nilishaomba toba kwa mwenyezi Mungu na Nina imani nimesamehewa Sina mwanaume yoyote wala sikuwai kukutana na mwanaume mwingi baada yake
Ushaurii wenu nifanyaje
Nimetumia fake ID ili nipate ushaurii kwa uhuru
Pending for moderationIna maana uzi wa tangu saa sita hauna mchangiaji?
UsikubaliMiaka michache nyuma nikiwa na Miaka 23 ndio nimetoka kumaliza degree yangu katika chuo kikuu cha mzumbe kwa bahati mbaya nilijiingiza kwenye upuuzi ambao mpk Leo naujutia
Nimetumia ID mpya ili nisijulikane
Nikiwa na huo umri ndio kwa mara ya kwanza nilikutana na mwanaume yaani mpk namaliza chuo sikuwai kushiriki sex nilijitunza sana nikitamani nami niingie kwenye ndoa nikiwa bikira.. sio kwamba siku na mahusiano nilikuwa nayo ila yalikuwa yale ya no sex till marriage
Niseme tu bahatii mbaya nilikutana na Kijana ambae alikuwa ametoka kuajiliwa ana miezi kama miwili tangu apate ajira nikajikuta nimeanzisha nae mahusiano ghafla sijui ni nini kilitokea ila nilijikuta nimempenda ghafla sana.. ndani ya wiki moja akaniita geto kwake ambalo alikuwa analitumia weekend maana alikuwa anakaa kambini…
Kwa mara ya kwanza nikashiriki nae sex na siku hiyohiyo mimba ikaingia kitu ambacho sikukitarajia maana nilikuwa siku salama I mean nilibakiza siku 3 niingie hedhi… ukweli nilichanganyikiwa sana sio kidogo nikiangalia sina kazi nakaa kwetu nyumbani kwenyewe kula mtihani ubaya zaidii huyu Kama simfahamu nimekutana nae wiki moja tu kiufupi ilikuwa Kama pigo kwangu..cha ajabu zaidi kijana tupo age moja na nilipomwambia tu Nina mimba alianza kunipa da kitu ambacho kilifanya nimchukie nikiamini kuwa ameniharibia maisha yangu.. kilichoniudhi zaidii yule kaka alienda kuwaambia ndugu zake wote Mimi nina ujauzito wake, nikawa sina namna ikabidi nimshirikishe ndugu yangu aisee kitu cha kwanza aliniambia niitoe kijana nae akawa haelewekii leo anasema nitoe kesho anasema nisitoe yeye atalea.. kimbembe kikaja kwa ndugu zake wakawa wanamwambia kuwa inawezekana mimba siyo yake nimemsingizia kwasababu nimeona ana kazi ikafikia hatua ndugu zake wananiambia niitoe maana naweza kutelekezwa mara waseme namdangia ndugu yao kitu ambacho kiliniuma sana
Nikawa sina msaada wowote zaidii ya mwanaume alikubali kulea mimba ile akawa anahudumia akafungua account benk kiufupi alikuwa anaonesha nia japo pesa zake ni ukiomba utasubirishwaa sanaa yaani kila siku ni ahadi.. nyumbani wote waligomaa hawataki kusikia kuhusu mimi hapo tayari mimba ina week 3 nikawa sasa nimechanganyikiwa nikiwaza mtu ninaezaa nae muda wowote atanigeukaa jamii nayo itanionajee yaani kelele zikawa nyingi mwishoni nikaona bora nisikilize wengi nikaamua kufanya abortion ikiwa na wiki 3 sikumwambia yule Kijana mpk ilipofika miezi 2 ndio nilimwambia imetoka sikusema Kama niliitoa tuligombana sana akanitukana sana akisema nimeitoa.. nikashikilia msimamo wangu kuwa sijaitoa imetoka basi yule kijana akaniambia Kama kweli hivyo anataka tena anipe mimba nyingine maana yeye alishawaambia ndugu zake.. Mimi nikawa nazungusha tu,, tuligombana kila siku na yeye ndio alikuwa mkorofi nikaona atakuja kuniua nikamwambia tuachane alikuwa king’ang’anizi kiasi kwamba akaanza kunitukana nilichofanya nikabadili namba
Sasa kilichonileta hapa ni kuwa amerudi tena anahitaji tuwe wote ila Sharti analonipa ili aniamini anahitaji tuzae wote tena na tukaishi pamoja.. nilichomjibu ni kuwa haiwezekani akitaka tuoane ndio tuzae ila kwa kazi yake muda wa kuoa bado haujafika… Sasa amekuwa akinisumbua sana turudiane ila mimi naogopa asije kuwa anataka kulipa kisasi… tangu tuachane ni Miaka imepita na Mimi sijawah tena kujiingiza na mahusiano nilishaomba toba kwa mwenyezi Mungu na Nina imani nimesamehewa Sina mwanaume yoyote wala sikuwai kukutana na mwanaume mwingi baada yake
Ushaurii wenu nifanyaje
Nimetumia fake ID ili nipate ushaurii kwa uhuru
Ina maana uzi wa tangu saa sita hauna mchangiaji?
Sasa kilichonileta hapa ni kuwa amerudi tena anahitaji tuwe wote ila Sharti analonipa ili aniamini anahitaji tuzae wote tena na tukaishi pamoja.. nilichomjibu ni kuwa haiwezekani akitaka tuoane ndio tuzae ila kwa kazi yake muda wa kuoa bado haujafika…
Msimamo huo uliouonyesha ndio wa maana.Usikengeuke.Miaka michache nyuma nikiwa na Miaka 23 ndio nimetoka kumaliza degree yangu katika chuo kikuu cha mzumbe kwa bahati mbaya nilijiingiza kwenye upuuzi ambao mpk Leo naujutia
Nimetumia ID mpya ili nisijulikane
Nikiwa na huo umri ndio kwa mara ya kwanza nilikutana na mwanaume yaani mpk namaliza chuo sikuwai kushiriki sex nilijitunza sana nikitamani nami niingie kwenye ndoa nikiwa bikira.. sio kwamba siku na mahusiano nilikuwa nayo ila yalikuwa yale ya no sex till marriage
Niseme tu bahatii mbaya nilikutana na Kijana ambae alikuwa ametoka kuajiliwa ana miezi kama miwili tangu apate ajira nikajikuta nimeanzisha nae mahusiano ghafla sijui ni nini kilitokea ila nilijikuta nimempenda ghafla sana.. ndani ya wiki moja akaniita geto kwake ambalo alikuwa analitumia weekend maana alikuwa anakaa kambini…
Kwa mara ya kwanza nikashiriki nae sex na siku hiyohiyo mimba ikaingia kitu ambacho sikukitarajia maana nilikuwa siku salama I mean nilibakiza siku 3 niingie hedhi… ukweli nilichanganyikiwa sana sio kidogo nikiangalia sina kazi nakaa kwetu nyumbani kwenyewe kula mtihani ubaya zaidii huyu Kama simfahamu nimekutana nae wiki moja tu kiufupi ilikuwa Kama pigo kwangu..cha ajabu zaidi kijana tupo age moja na nilipomwambia tu Nina mimba alianza kunipa da kitu ambacho kilifanya nimchukie nikiamini kuwa ameniharibia maisha yangu.. kilichoniudhi zaidii yule kaka alienda kuwaambia ndugu zake wote Mimi nina ujauzito wake, nikawa sina namna ikabidi nimshirikishe ndugu yangu aisee kitu cha kwanza aliniambia niitoe kijana nae akawa haelewekii leo anasema nitoe kesho anasema nisitoe yeye atalea.. kimbembe kikaja kwa ndugu zake wakawa wanamwambia kuwa inawezekana mimba siyo yake nimemsingizia kwasababu nimeona ana kazi ikafikia hatua ndugu zake wananiambia niitoe maana naweza kutelekezwa mara waseme namdangia ndugu yao kitu ambacho kiliniuma sana
Nikawa sina msaada wowote zaidii ya mwanaume alikubali kulea mimba ile akawa anahudumia akafungua account benk kiufupi alikuwa anaonesha nia japo pesa zake ni ukiomba utasubirishwaa sanaa yaani kila siku ni ahadi.. nyumbani wote waligomaa hawataki kusikia kuhusu mimi hapo tayari mimba ina week 3 nikawa sasa nimechanganyikiwa nikiwaza mtu ninaezaa nae muda wowote atanigeukaa jamii nayo itanionajee yaani kelele zikawa nyingi mwishoni nikaona bora nisikilize wengi nikaamua kufanya abortion ikiwa na wiki 3 sikumwambia yule Kijana mpk ilipofika miezi 2 ndio nilimwambia imetoka sikusema Kama niliitoa tuligombana sana akanitukana sana akisema nimeitoa.. nikashikilia msimamo wangu kuwa sijaitoa imetoka basi yule kijana akaniambia Kama kweli hivyo anataka tena anipe mimba nyingine maana yeye alishawaambia ndugu zake.. Mimi nikawa nazungusha tu,, tuligombana kila siku na yeye ndio alikuwa mkorofi nikaona atakuja kuniua nikamwambia tuachane alikuwa king’ang’anizi kiasi kwamba akaanza kunitukana nilichofanya nikabadili namba
Sasa kilichonileta hapa ni kuwa amerudi tena anahitaji tuwe wote ila Sharti analonipa ili aniamini anahitaji tuzae wote tena na tukaishi pamoja.. nilichomjibu ni kuwa haiwezekani akitaka tuoane ndio tuzae ila kwa kazi yake muda wa kuoa bado haujafika… Sasa amekuwa akinisumbua sana turudiane ila mimi naogopa asije kuwa anataka kulipa kisasi… tangu tuachane ni Miaka imepita na Mimi sijawah tena kujiingiza na mahusiano nilishaomba toba kwa mwenyezi Mungu na Nina imani nimesamehewa Sina mwanaume yoyote wala sikuwai kukutana na mwanaume mwingi baada yake
Ushaurii wenu nifanyaje
Nimetumia fake ID ili nipate ushaurii kwa uhuru
Hizi bahati mbona zinawapataga maboya!!?Miaka michache nyuma nikiwa na Miaka 23 ndio nimetoka kumaliza degree yangu katika chuo kikuu cha mzumbe kwa bahati mbaya nilijiingiza kwenye upuuzi ambao mpk Leo naujutia
Nimetumia ID mpya ili nisijulikane
Nikiwa na huo umri ndio kwa mara ya kwanza nilikutana na mwanaume yaani mpk namaliza chuo sikuwai kushiriki sex nilijitunza sana nikitamani nami niingie kwenye ndoa nikiwa bikira.. sio kwamba siku na mahusiano nilikuwa nayo ila yalikuwa yale ya no sex till marriage
Niseme tu bahatii mbaya nilikutana na Kijana ambae alikuwa ametoka kuajiliwa ana miezi kama miwili tangu apate ajira nikajikuta nimeanzisha nae mahusiano ghafla sijui ni nini kilitokea ila nilijikuta nimempenda ghafla sana.. ndani ya wiki moja akaniita geto kwake ambalo alikuwa analitumia weekend maana alikuwa anakaa kambini…
Kwa mara ya kwanza nikashiriki nae sex na siku hiyohiyo mimba ikaingia kitu ambacho sikukitarajia maana nilikuwa siku salama I mean nilibakiza siku 3 niingie hedhi… ukweli nilichanganyikiwa sana sio kidogo nikiangalia sina kazi nakaa kwetu nyumbani kwenyewe kula mtihani ubaya zaidii huyu Kama simfahamu nimekutana nae wiki moja tu kiufupi ilikuwa Kama pigo kwangu..cha ajabu zaidi kijana tupo age moja na nilipomwambia tu Nina mimba alianza kunipa da kitu ambacho kilifanya nimchukie nikiamini kuwa ameniharibia maisha yangu.. kilichoniudhi zaidii yule kaka alienda kuwaambia ndugu zake wote Mimi nina ujauzito wake, nikawa sina namna ikabidi nimshirikishe ndugu yangu aisee kitu cha kwanza aliniambia niitoe kijana nae akawa haelewekii leo anasema nitoe kesho anasema nisitoe yeye atalea.. kimbembe kikaja kwa ndugu zake wakawa wanamwambia kuwa inawezekana mimba siyo yake nimemsingizia kwasababu nimeona ana kazi ikafikia hatua ndugu zake wananiambia niitoe maana naweza kutelekezwa mara waseme namdangia ndugu yao kitu ambacho kiliniuma sana
Nikawa sina msaada wowote zaidii ya mwanaume alikubali kulea mimba ile akawa anahudumia akafungua account benk kiufupi alikuwa anaonesha nia japo pesa zake ni ukiomba utasubirishwaa sanaa yaani kila siku ni ahadi.. nyumbani wote waligomaa hawataki kusikia kuhusu mimi hapo tayari mimba ina week 3 nikawa sasa nimechanganyikiwa nikiwaza mtu ninaezaa nae muda wowote atanigeukaa jamii nayo itanionajee yaani kelele zikawa nyingi mwishoni nikaona bora nisikilize wengi nikaamua kufanya abortion ikiwa na wiki 3 sikumwambia yule Kijana mpk ilipofika miezi 2 ndio nilimwambia imetoka sikusema Kama niliitoa tuligombana sana akanitukana sana akisema nimeitoa.. nikashikilia msimamo wangu kuwa sijaitoa imetoka basi yule kijana akaniambia Kama kweli hivyo anataka tena anipe mimba nyingine maana yeye alishawaambia ndugu zake.. Mimi nikawa nazungusha tu,, tuligombana kila siku na yeye ndio alikuwa mkorofi nikaona atakuja kuniua nikamwambia tuachane alikuwa king’ang’anizi kiasi kwamba akaanza kunitukana nilichofanya nikabadili namba
Sasa kilichonileta hapa ni kuwa amerudi tena anahitaji tuwe wote ila Sharti analonipa ili aniamini anahitaji tuzae wote tena na tukaishi pamoja.. nilichomjibu ni kuwa haiwezekani akitaka tuoane ndio tuzae ila kwa kazi yake muda wa kuoa bado haujafika… Sasa amekuwa akinisumbua sana turudiane ila mimi naogopa asije kuwa anataka kulipa kisasi… tangu tuachane ni Miaka imepita na Mimi sijawah tena kujiingiza na mahusiano nilishaomba toba kwa mwenyezi Mungu na Nina imani nimesamehewa Sina mwanaume yoyote wala sikuwai kukutana na mwanaume mwingi baada yake
Ushaurii wenu nifanyaje
Nimetumia fake ID ili nipate ushaurii kwa uhuru