Nawezaje kupata mfadhili wa kunisomesha?

Nawezaje kupata mfadhili wa kunisomesha?

medrickrobert

Member
Joined
Apr 25, 2017
Posts
58
Reaction score
9
mimi ni muhitimu wa kidato cha nne mwaka 2016 na nilichukua mchepuo wa sayansi na nilipata daraja la pili(division 2) nilichaguliwa kujiunga na sekondari lakin ckuweza kupata wa kuniendeleza kimasomo... in short ni yatima..
 
Polee sana mkuu jalibu kutembelea makanisa na miskit mbal mbali unaweza pata msaada...unaweza kutana na wasamalia wemaa
 
Ulipangiwa shule gani nenda kwa kiongozi wako hasa mbunge au Mkuu wa wilaya unaweza pata msaada usikate tamaa pole sana
 
Back
Top Bottom