Pastory Kimaryo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 967
- 671
Kuna wakati nawasiliana na mtu WhatsApp and tunataka kutrade vitu fulani lakini Nakuwa nakosa amani naye, natamani kama ningejua alipo ili akinizingua nimtimbie, sasa ndio nikaja hapa kuomba msaada kama kuna namna naweza kupata location.