Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,405
- 88,864
Niko kwenye stage ya mwisho wa ujauzito ila mambo naona yamekua mengi na mimi ndo kwanza naanza maisha ila baba wa mtoto yuko vizuri na anajua situation yangu vizuri kabisa. Hapa nilipofikia nahitaji msaada hasa wa kifedha lakini mwenzangu haonyeshi kunisupport japo anajua kabisa nina kiumbe chake na uwezo wa kunisaidia anao. Nawezaje kumwambia anisaidie hapa nilipofikia sababh toka mwanzo mpaka hapa hajawahi nitumia hata elfu moja inisaidie kwenye ujauzito.
Naombeni mawazo yenu maana sijui pa kuanzia.
Naombeni mawazo yenu maana sijui pa kuanzia.