Nime pakia application ya Azam Tv max leo hili nilipie nicheki gemu ya yanga Na Simba kesho
Cha ajabu nimesha sajili kila kitu Ila nikitaka kulipia wanakataa malipo yangu
Wananitumia SMS eti kabla ya yote nijiandikishe kwanza kwenye Kampung ya DPo think payiment hivi Hawa depo think payiment Na Kampuny ya wapi Tena jamani
Nikisha jiandikisha uko ndo nalipia Azam TV max Sasa yaani uko kujiandikisha tu nilipie 43$ US dollar
Anaye jua mambo Haya naomba msaada jamani naona kama naende kupigwa Na kitu kizito kichwani sijui kama Azam Tv ni kwa watanzania tu au vipi
Cha ajabu nimesha sajili kila kitu Ila nikitaka kulipia wanakataa malipo yangu
Wananitumia SMS eti kabla ya yote nijiandikishe kwanza kwenye Kampung ya DPo think payiment hivi Hawa depo think payiment Na Kampuny ya wapi Tena jamani
Nikisha jiandikisha uko ndo nalipia Azam TV max Sasa yaani uko kujiandikisha tu nilipie 43$ US dollar
Anaye jua mambo Haya naomba msaada jamani naona kama naende kupigwa Na kitu kizito kichwani sijui kama Azam Tv ni kwa watanzania tu au vipi