Nawezaje kubadilika?


mkuu, kama hata harusi huchangii, jiandae kuchukiwa na kila mtu. tena bora uchukiwe hivo hivo, kwani harusi zina faida gani kwa jamii? unakuta mtu anatengeneza kadi za 20,000 halafu anategemea raia ndio wazigharamie. upuuzi mtupu!!!!
 

Mkuu unajua sisi wabongo sijui utamaduni wa jirani zetu ama nchi nyingine. Huwa tunasaidiana. Kuna watu ambao nawasaidia hata kama nakuwa sina ila najitahidi kuwasaidia ili waondokane na dhahma iliyowapata wakati huo.

Let say mtu anaomba msaada kakwama njiani, hana msaada wowote na kaona kuwa wewe ndio kimbilio kwanini usimsaidie ilhali una uwezo wa kumsaidia?

Mtu ana mgonjwa ama mgonjwa na hana msaada nawe uko katika position nzuri kwanini usimsaidie??

Sijui nina roho ya namna gani? Make mtu akiniomba msaada na nina weza kumsaidia nisipomsaidia dhamira inanisuta nahisi kama nimefanya kosa.

Ila nimesoma ushauri wa watu humu nitajitahidi kuwa na kiasi aisee...
 
Basi una moyo wa kipekee...one of a kind naweza sema...!!! Too much is harmful is all i can say..never forget that...
 

Mpwa habari yako.............

Boss man ananidai
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…